Home: Geneva of Africa
Mama -chagga, baba Mngoni
Nina wajomba wanne.
The last one 'uncle 4' is very handsome, a civil engineer, mcha mungu, mwoga wa wabinti-yaani domo zege sana.
Marafiki zangu (Mashosti) wananiomba niwape Access /unganishie ila sitaki as najua wapenzi wa kwanza hawaoani so staki lawama.
Kuna wakati niliwahi mzimia when i was form two hadi leo napogombana na BF wangu the first one to call (not kumweleza mzozo wangu na BF) just to hear his sauti ni yeye.
I always ask his car (BF wangu anapokuwa safarini) nakwenda nje ya mji huko najifungia ndani ya gari najilaza na mziki taratibu + shombo/harafu yake kwenye gari HUNIFANYA nihisi paradiso
Strictly:Simaanishi natamani game naye.
Mama -chagga, baba Mngoni
Nina wajomba wanne.
The last one 'uncle 4' is very handsome, a civil engineer, mcha mungu, mwoga wa wabinti-yaani domo zege sana.
Marafiki zangu (Mashosti) wananiomba niwape Access /unganishie ila sitaki as najua wapenzi wa kwanza hawaoani so staki lawama.
Kuna wakati niliwahi mzimia when i was form two hadi leo napogombana na BF wangu the first one to call (not kumweleza mzozo wangu na BF) just to hear his sauti ni yeye.
I always ask his car (BF wangu anapokuwa safarini) nakwenda nje ya mji huko najifungia ndani ya gari najilaza na mziki taratibu + shombo/harafu yake kwenye gari HUNIFANYA nihisi paradiso
Strictly:Simaanishi natamani game naye.