Chupuchupu kutolewa 'uvivu' na my blood mjomba

Marytina

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
9,291
7,145
Home: Geneva of Africa
Mama -chagga, baba Mngoni

Nina wajomba wanne.
The last one 'uncle 4' is very handsome, a civil engineer, mcha mungu, mwoga wa wabinti-yaani domo zege sana.
Marafiki zangu (Mashosti) wananiomba niwape Access /unganishie ila sitaki as najua wapenzi wa kwanza hawaoani so staki lawama.

Kuna wakati niliwahi mzimia when i was form two hadi leo napogombana na BF wangu the first one to call (not kumweleza mzozo wangu na BF) just to hear his sauti ni yeye.

I always ask his car (BF wangu anapokuwa safarini) nakwenda nje ya mji huko najifungia ndani ya gari najilaza na mziki taratibu + shombo/harafu yake kwenye gari HUNIFANYA nihisi paradiso


Strictly:Simaanishi natamani game naye.
 
Home: Geneva of Africa
Mama -chagga, baba Mngoni

Nina wajomba wanne.
The last one 'uncle 4' is very handsome, a civil engineer, mcha mungu, mwoga wa wabinti-yaani domo zege sana.
Marafiki zangu (Mashosti) wananiomba niwape Access /unganishie ila sitaki as najua wapenzi wa kwanza hawaoani so staki lawama.

Kuna wakati niliwahi mzimia when i was form two hadi leo napogombana na BF wangu the first one to call (not kumweleza mzozo wangu na BF) just to hear his sauti ni yeye.

I always ask his car (BF wangu anapokuwa safarini) nakwenda nje ya mji huko najifungia ndani ya gari najilaza na mziki taratibu + shombo/harafu yake kwenye gari HUNIFANYA nihisi paradiso


Strictly:Simaanishi natamani game naye.

hapa panakufunga. unaweza kuwa na kiu ya maji kisha uletewe maji yenyewe useme kuwa 'siyanywi kamwe'?

khaaz ni kkwakho
 
hapa panakufunga. unaweza kuwa na kiu ya maji kisha uletewe maji yenyewe useme kuwa 'siyanywi kamwe'?

khaaz ni kkwakho
kwani ningekuwa na hamu ya game naye nani angenizuia kusema hapa JF?
 
Mbona unajichanganya?mara unampenda mara kutolewa uvivu kipi ni kipi mwanawane?si umgee tu?
 
Kama huna hisia nae ya game hayo yote ya nini? harufu/ shombo la mjomba wako kwa nini likusisimue, kaazi kweli
 
Home: Geneva of Africa
Mama -chagga, baba Mngoni

Nina wajomba wanne.
The last one 'uncle 4' is very handsome, a civil engineer, mcha mungu, mwoga wa wabinti-yaani domo zege sana.
Marafiki zangu (Mashosti) wananiomba niwape Access /unganishie ila sitaki as najua wapenzi wa kwanza hawaoani so staki lawama.

Kuna wakati niliwahi mzimia when i was form two hadi leo napogombana na BF wangu the first one to call (not kumweleza mzozo wangu na BF) just to hear his sauti ni yeye.

I always ask his car (BF wangu anapokuwa safarini) nakwenda nje ya mji huko najifungia ndani ya gari najilaza na mziki taratibu + shombo/harafu yake kwenye gari HUNIFANYA nihisi paradiso


Strictly:Simaanishi natamani game naye.


SPIDI ZAIDII...KAAZ NI KWAKO.:dance::dance:
 
I wish I could understand this very useful thread............so that I could drop my few drops but.... merytina hujanitendea haki.:A S 103:
 
Back
Top Bottom