asante
mimi sio type hizi ndio maana sharobaro hapewi hata namba ya simu
uongo huo
my bf ni Mmasai kwa kabila
nadhani unajua wanavitai kwenye mguu wa tatu vinavyokoleza game.
Uliza Mmasai anakuwaje (kwenye mguu wa tatu utaambiwa)
chezea mshahara ila usichezee kaziMarytina marytina.
Masai atakuua akijua hii makitu.
Au unamwonea coz ni mpole na mlokole?
dah, mwanamke una vituko weye, lol..
ila napenda unavyotoa mawazo yako tofauti hapa,
kwani natambua kabisa duniani wapo watu wenye kariba kama yako,
na wewe ndo unawawakilisha hapa,
Keep it up!!!!!!!!
unajua kwani bording hamkusoma na wamasai?Merytina, vitai ndo nini?
au ndo govinda?
Huu uzee nao, hata lugha za vijana zinatupiga chenga sasa!!!!!!