Hujatulia wewe teh! Mpe mjomba mzigo ang'ate!
Sijakusoma chalii 'anguSPIDI ZAIDII...KAAZ NI KWAKO.:dance::dance:
mimi tatizo langu ni hili kwenye post zako zote,lina umuhimu gani ????
Home: Geneva of Africa
Mama -chagga, baba Mngoni
Nina wajomba wanne.
The last one 'uncle 4' is very handsome, a civil engineer, mcha mungu, mwoga wa wabinti-yaani domo zege sana.
Marafiki zangu (Mashosti) wananiomba niwape Access /unganishie ila sitaki as najua wapenzi wa kwanza hawaoani so staki lawama.
Kuna wakati niliwahi mzimia when i was form two hadi leo napogombana na BF wangu the first one to call (not kumweleza mzozo wangu na BF) just to hear his sauti ni yeye.
I always ask his car (BF wangu anapokuwa safarini) nakwenda nje ya mji huko najifungia ndani ya gari najilaza na mziki taratibu + shombo/harafu yake kwenye gari HUNIFANYA nihisi paradiso
Strictly:Simaanishi natamani game naye.
I wish I could understand this very useful thread............so that I could drop my few drops but.... merytina hujanitendea haki.:A S 103:
Naona hapo bloody relation utaiweka kando. What hapened f2?
Hujatulia wewe teh! Mpe mjomba mzigo ang'ate!
Nemo ngoja niongeze hapa chini kama msisitizo,Merytina
It sounds like the underlying reason for you not hooking your friends with
uncle with the "mostest'' is nothing but the fact that you, yourself are crushing over him! Du ila this is new!
Home: Geneva of Africa
Mama -chagga, baba Mngoni
Nina wajomba wanne.
The last one 'uncle 4' is very handsome, a civil engineer, mcha mungu, mwoga wa wabinti-yaani domo zege sana.
Marafiki zangu (Mashosti) wananiomba niwape Access /unganishie ila sitaki as najua wapenzi wa kwanza hawaoani so staki lawama.
Kuna wakati niliwahi mzimia when i was form two hadi leo napogombana na BF wangu the first one to call (not kumweleza mzozo wangu na BF) just to hear his sauti ni yeye.
I always ask his car (BF wangu anapokuwa safarini) nakwenda nje ya mji huko najifungia ndani ya gari najilaza na mziki taratibu + shombo/harafu yake kwenye gari HUNIFANYA nihisi paradiso
Strictly:Simaanishi natamani game naye.
i told you nilikuwa sijawahi kwa hiyo tukasumbuana weeeeeeeee mara mlango wa next room ukafunguliwa kelele zake zikatuogopesha .
ila mbona nyie munakula mabinamu zenu hamushangai ila merytina tu????
the IMF boss au ???????????Kweli dunia inakaribia kufika mwisho.
No dear!Merytina
It sounds like the underlying reason for you not hooking your friends up with
uncle with the "mostest'' is nothing but the fact that you, yourself are crushing over him! Du ila this is new!
Unamtamani uncle wako alafu unasema sio kimapenzi...! Sasa unamtamani kivipi?the IMF boss au ???????????
jamani kipi cha ajabu in uzi huu
so what is the rltnship with ukaribu wangu na uncle hapa.Human Sex Pheromones are natural chemical scents (shombo/harafu) the body produces in order to attract others... They call it scent of love.
umesahau mnasemaga binamu nyama ya hamu??Dah, my goodness, na huku umepita? Wewe ni noumer!
Ndiyo zinazo kuvutia...! Unamtamani uncle wako...! Na ili halikubaliki kwani kuwa Baba Mngoni na Mama mchaga alikufanyi umtamani mjomba wako.so what is the rltnship with ukaribu wangu na uncle hapa.
kwani office mate hawana hizo hormones????????????
umesahau mnasemaga binamu nyama ya hamu??
sijapitia huko
only wawili tu in my life na sitegemei zaidi
Unamtamani uncle wako alafu unasema sio kimapenzi...! Sasa unamtamani kivipi?