Chupuchupu kutolewa 'uvivu' na my blood mjomba

Kama unajua kuna tatizo la hormones (Physiology=how the body works)MBONA UNANISHANGAA?
Ni kweli it can be hormone zake ndio zinazonivuta ila sio kufanya mapenzi
Haya mdada, sasa sijui zinakuvutia kuelekea wapi, tufahamishe basi ili tuweze kukusaidia kama inawezekana na wewe mwenyewe kama upo tayari.
 
Merytina embu punguza kidogo aiseeee...utamtamani vipi mjomba wako hata kama ni kwa maandishi tu!??Usijitafutie laana za lazima..wanaume wamejaa tele mitaani chukua hao hata mia achana na
ndugu!!
 
duh
hii thread mbona nimechelewa kuiona???????

unanikumbusha mimi nina cousin sister mmoja

aliniomba nimuoe na alikwenda mpaka kwa mama yangu kumwambia....
i mean ukoo wote wanajua alitaka nimuoe......
yaani
 
baaaadae utakuja kumpa, halafu utajuta kwa nini ulichelewa kuanza! Mambo ya mjomba, binamu, nini, ni majina tu ya huku duniani. Sikiliza moyo wako dada
 
duh
hii thread mbona nimechelewa kuiona???????

unanikumbusha mimi nina cousin sister mmoja

aliniomba nimuoe na alikwenda mpaka kwa mama yangu kumwambia....
i mean ukoo wote wanajua alitaka nimuoe......
yaani
Malizia stori!
 
Nawapenda watoto wa kingoni lazima utakuwa mfupi wewe,unampenda mjomba wako meryt wewe **** nae tu mtaona kila mtu atakavyokaa mbali na mwenzake.ww do nae tu wala usijali utapata mtizamo mpya merytina wangu
 
No dear!
My uncle ni mpole mgeni kwenye luv affairs
Nikimpa shosti yangu akimchanganya nitajutia sana.
Atampata mwezie huko ila nisipomkubali naapa kuwaachanisha


merytina:
This is a grown a** man! In anycase,notice these bolded items....they speak volume , regarding your answer above
 
HATA MIE MWENYEWE NAKUPENDAGA SANA merytina sema tatizo sina gari sina hela kaelimu kenyewe ndo ivo tena basi !!.manake siku izi ukiwa na ivo vi2 mke hupati shida.
 
mweh!mm mtoto wa cousin yangu (he is older than me kama 7yrs!) alikuwa ananitambulisha kwa gf zake kuwa mie ni aunt-mchumba,na kuwaambia kama sio undugu angenioa mie.alipooa he kept a distance,sasa he has probs kwenye ndoa he is back into the pic.mweh,hivi vichaa kumbe vipo eeh?
 
Kosa ni la huyo boyfriend wako hakufanyi ki ukweli kiasi unaendelea kutamani wanaume wengine.Kuhusu uncle wako hii imetokea kwa kuwa hufanywi kikamilifu inawezekana ungetamani hata wanaume wengine ila umekimbilia kumtamani uncle wako kwa kuwa unajua itakuwa vigumu boyfriend wako kugundua kuwa unatamani mwanaume mwingine kutimizia dose.

Kama vipi mwambie jamaa yako live apikiche mashine kikamilifu utamsau uncle wako tu.
 
Home: Geneva of Africa
Mama -chagga, baba Mngoni

Nina wajomba wanne.
The last one 'uncle 4' is very handsome, a civil engineer, mcha mungu, mwoga wa wabinti-yaani domo zege sana.
Marafiki zangu (Mashosti) wananiomba niwape Access /unganishie ila sitaki as najua wapenzi wa kwanza hawaoani so staki lawama.

Kuna wakati niliwahi mzimia when i was form two hadi leo napogombana na BF wangu the first one to call (not kumweleza mzozo wangu na BF) just to hear his sauti ni yeye.

I always ask his car (BF wangu anapokuwa safarini) nakwenda nje ya mji huko najifungia ndani ya gari najilaza na mziki taratibu + shombo/harafu yake kwenye gari HUNIFANYA nihisi paradiso


Strictly:Simaanishi natamani game naye.
express yourself
 
Merytina embu punguza kidogo aiseeee...utamtamani vipi mjomba wako hata kama ni kwa maandishi tu!??Usijitafutie laana za lazima..wanaume wamejaa tele mitaani chukua hao hata mia achana na
ndugu!!

kama vile hujaisoma vizuri sredi.
pale kwenye sredi nimeweka strictly simtamani for sex.
Example:Nilipokwa DSM jirani kuna mama alikuwa na kichanga kitalia hata saa nzima bila kusinzia ila nikikiweka tu mikononi dakika kumi nyingi.Yule mama ilibidi anizoee bila kupenda.
This is just AGAPE love na sio Sexylove.
 
duh
hii thread mbona nimechelewa kuiona???????

unanikumbusha mimi nina cousin sister mmoja

aliniomba nimuoe na alikwenda mpaka kwa mama yangu kumwambia....
i mean ukoo wote wanajua alitaka nimuoe......
yaani

hii ipo tofauti na hisia zangu juu ya uncle.Mimi simtakii kiivyo ulivyoeleza kwenye post.
 
HATA MIE MWENYEWE NAKUPENDAGA SANA merytina sema tatizo sina gari sina hela kaelimu kenyewe ndo ivo tena basi !!.manake siku izi ukiwa na ivo vi2 mke hupati shida.

asante
mimi sio type hizi ndio maana sharobaro hapewi hata namba ya simu
 
mweh!mm mtoto wa cousin yangu (he is older than me kama 7yrs!) alikuwa ananitambulisha kwa gf zake kuwa mie ni aunt-mchumba,na kuwaambia kama sio undugu angenioa mie.alipooa he kept a distance,sasa he has probs kwenye ndoa he is back into the pic.mweh,hivi vichaa kumbe vipo eeh?

vipo sana sasa nashangaa wananikandika JF
 
Kosa ni la huyo boyfriend wako hakufanyi ki ukweli kiasi unaendelea kutamani wanaume wengine.Kuhusu uncle wako hii imetokea kwa kuwa hufanywi kikamilifu inawezekana ungetamani hata wanaume wengine ila umekimbilia kumtamani uncle wako kwa kuwa unajua itakuwa vigumu boyfriend wako kugundua kuwa unatamani mwanaume mwingine kutimizia dose.

Kama vipi mwambie jamaa yako live apikiche mashine kikamilifu utamsau uncle wako tu.

uongo huo
my bf ni Mmasai kwa kabila
nadhani unajua wanavitai kwenye mguu wa tatu vinavyokoleza game.
Uliza Mmasai anakuwaje (kwenye mguu wa tatu utaambiwa)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom