Chupu chupu frm hiv infection;kibiriti na maisha ya umri wa kati

dah.hi hiv ni mateso ya dunia haya.jaribu kwenda mwananyamala or muhimbili muone.its hel.lets pray that god protect us..
 
Huyo mgonjwa ampeleke kwenye counselling apewe ushauri nasaha then apokee majibu yake......na namna ya kujikinga na kuishi kwa matumaini.....

Huyo wa pili asikilize moyo wake na instincts zake...amchunguze huyo dada kama yuko tayari kutulia then wasonge mbele kama hayuko tayari atafute mtu ambaye ametulia na yuko tayari kwa majukumu ya kiutu uzima......

Hivi kwanza utafikaje VCT halafu ukapimwa ukimwi kama malaria bila kupitia councelling na kuwa tayari for tests?
 
Ilikua ni jioni ya saa 9 unusu, anapiga simu kwa mpenzie mpya anaetwa Tuzo,huyu ni mpenzie wa pembeni yaani anaiba!!Wanapanga wakutane ili waongozane kurudi home!Anampa lifti ya kutoka ofisini kwenda home,wakiwa njiani wanaamua wapite wakafanye HIV Testing ili waweze kuingia katika anga nyingine ya mapenzi yaani kula nyama mbichi mbichi.Wanafika kituo cha afya na baada ya dakika 20 mhudumu anawaita tayar kwa majibu,Tuzo anaamua mkaka achukue majibu yote kisha ampe taarifa za majibu yote.Kibiriti anafuata majibu na mhudumu anamweleza kua yako majibu ya aina mbili kati yao POSITIVE and NEGATIVE Kibiriti anataharuki anaonyeshwa,kumbe mdada kaathirika lkn Kibiriti yuko ok(Negative).
Anashukuru MUNGU lkn tyr keshatembea na huyu mdada mara mbili kwa kutumia mipira,anatoka nje,kimbembe ni je amweleze dada ukweli ama asimweleze???
Wadau msaidieni....
..................Kibiriti anampeleka Tuzo nyumbani,njiani haamini lkn hajui aanzie wapi kumwambia mpenziwe,mdada anaonyesha wasiwasi kwani Kibiriti kabadilika saaana lkn wanafika nyumbani wanaagana bila Kibiriti kumwambia ukweli,je kafanya sahihi?
Amwambieje mwambieje??

.........................Kibiriti anarudi kwake kufika njiani anaamua kumtafuta mpenzie mwingine(Kibiriti ni mwingi),mpenzie huyu ndie anampenda ndo wake wa moyo,anapiga simu weeeeeeeeeeeeeeeee inaita weeeeee zote mbili kisha moja inazimwa,anapatwa na wivu anaamua ngoja nipite home kwake kufika saa 4 usku gonga hollaaaa hamna mtu.....gonga saaaaaana holla hamna kitu anakua around saa 5 vile anaona gari inasogea taratibu kuangalia ndani anaona mpnzie haswa yuko na bwana mwingine...mtandao wa ngono....
Anaenda kwa gari lile anatambulishwa eti 'boyfriend'!!!!
Anamuuliza mpenzie je kwa nn unazima simu na hupokei,anajibiwa eti chaji kuchukua simu kucheki simu iko full charged.....
Kimeo......anacheck message ndani anakuta message za wakaka.....

JE TUTAPONA na mtandao ngono????

Je kwa hali hiyo ya kwanza Kibiriti afanyeje???amwambie au?
Je huyu wa pili amfanyeje??Je amsamehe tu kwani nae alikua mwingi??

Kibiriti anakuja na hitimisho 'hataki tena kuchezea maisha yake,anataka kua responsible man,one man one woman now...

Message hii infikie Fidel80 na wengineo wote hapa.
Movie script bado yaendelea kuandikwa lkn wadau ebu toeni ushauri wenu hapo juu

Hicho kibiriti ngoma, hakiwezekani.
 
Swali narudia tena ushamwambia mwenzako kama anao aanze mkakati wa mkurabita???
 
Ilikua ni jioni ya saa 9 unusu, anapiga simu kwa mpenzie mpya anaetwa Tuzo,huyu ni mpenzie wa pembeni yaani anaiba!!Wanapanga wakutane ili waongozane kurudi home!Anampa lifti ya kutoka ofisini kwenda home,wakiwa njiani wanaamua wapite wakafanye HIV Testing ili waweze kuingia katika anga nyingine ya mapenzi yaani kula nyama mbichi mbichi.Wanafika kituo cha afya na baada ya dakika 20 mhudumu anawaita tayar kwa majibu,Tuzo anaamua mkaka achukue majibu yote kisha ampe taarifa za majibu yote.Kibiriti anafuata majibu na mhudumu anamweleza kua yako majibu ya aina mbili kati yao POSITIVE and NEGATIVE Kibiriti anataharuki anaonyeshwa,kumbe mdada kaathirika lkn Kibiriti yuko ok(Negative).
Anashukuru MUNGU lkn tyr keshatembea na huyu mdada mara mbili kwa kutumia mipira,anatoka nje,kimbembe ni je amweleze dada ukweli ama asimweleze???
Wadau msaidieni....
..................Kibiriti anampeleka Tuzo nyumbani,njiani haamini lkn hajui aanzie wapi kumwambia mpenziwe,mdada anaonyesha wasiwasi kwani Kibiriti kabadilika saaana lkn wanafika nyumbani wanaagana bila Kibiriti kumwambia ukweli,je kafanya sahihi?
Amwambieje mwambieje??

.........................Kibiriti anarudi kwake kufika njiani anaamua kumtafuta mpenzie mwingine(Kibiriti ni mwingi),mpenzie huyu ndie anampenda ndo wake wa moyo,anapiga simu weeeeeeeeeeeeeeeee inaita weeeeee zote mbili kisha moja inazimwa,anapatwa na wivu anaamua ngoja nipite home kwake kufika saa 4 usku gonga hollaaaa hamna mtu.....gonga saaaaaana holla hamna kitu anakua around saa 5 vile anaona gari inasogea taratibu kuangalia ndani anaona mpnzie haswa yuko na bwana mwingine...mtandao wa ngono....
Anaenda kwa gari lile anatambulishwa eti 'boyfriend'!!!!
Anamuuliza mpenzie je kwa nn unazima simu na hupokei,anajibiwa eti chaji kuchukua simu kucheki simu iko full charged.....
Kimeo......anacheck message ndani anakuta message za wakaka.....

JE TUTAPONA na mtandao ngono????

Je kwa hali hiyo ya kwanza Kibiriti afanyeje???amwambie au?
Je huyu wa pili amfanyeje??Je amsamehe tu kwani nae alikua mwingi??

Kibiriti anakuja na hitimisho 'hataki tena kuchezea maisha yake,anataka kua responsible man,one man one woman now...

Message hii infikie Fidel80 na wengineo wote hapa.
Movie script bado yaendelea kuandikwa lkn wadau ebu toeni ushauri wenu hapo juu



Hii inafa kuwa kwenye matangazo yale.........."kwa hisani ya watu wa marekani"...


Back to the story...yes ni muhimu amwambie ukweli yule demu wa pembeni....akae chini na demu/ wife wake wa jiulize wanaenda wapi...kama wanataka kuendelea basi wakapime halafu wawewaaminifu!!
 
Michelle,kwa ushauri wako huu wapili wamaanisha kua aamue kunyoa au kusuka hata kama kichwa chenyewe kina mapunye??

mapunye yanatibika.mtu akiamua kutafuta tiba na kujikinga asipate mapunye tena.....ishu ni aamue yeye kuyaondoa hayo mapunye .......asipoamua hivyo then waweza muacha aendelee kuwa nayo!
 
Hivi kwanza utafikaje VCT halafu ukapimwa ukimwi kama malaria bila kupitia councelling na kuwa tayari for tests?

nyingi tu hazitoi counselling especially zile za kulipia.....na si kila mtu anataka counselling wengine hukataa na hakuna wa kukulazimisha!!
 
Hivi kwanza utafikaje VCT halafu ukapimwa ukimwi kama malaria bila kupitia councelling na kuwa tayari for tests?
Bora kumbe siku hizi kuna mpaka councelling, sisi enzi hizo ushanyaka makaratasi yako ya DV-Lottery unaambiwa kwenda kichwa kichwa pale Hindu Mandal kupima ngoma~mwe ilikuwa shughuli.
 
Yaani wewe bado unaamini kondom ni kinga kweli??? how much does it cost? Do you think the cost of the condom reflects your value??? Mmmmhhh!!! why is condom so cheap??? Bado ni kitendawili!! Waliotengeneza wanatujali sana sisi??
Nami sina jibu.

Ushauri:
Usijihusishe na ngono kabla ya ndoa, huna sababu ya kufa kwa maambukizo kama hujaolewa.
Mkapime kabla ya kujamiiana kufuatana na kanuni za kupima zinavyokuhitaji.
Kuwa mwaminifu kwa mwenza wako,

.
Duh kupima ni ishu sana ila kama una mabibi au mabwana wengi ni bora utumie condom tu hata mkienda kupima hakuna kuaminiana hapo, mwenyewe unajijua mwingi halafu unataka kavukavu jamani hili janga linatisha lisikie tu kwa watu. tumeuguza marafiki na ndugu tumeona wanavyoteseka. condom condom condom hadanganyiki mtu hapa
 
Yaani wewe bado unaamini kondom ni kinga kweli??? how much does it cost? Do you think the cost of the condom reflects your value??? Mmmmhhh!!! why is condom so cheap??? Bado ni kitendawili!! Waliotengeneza wanatujali sana sisi??
Nami sina jibu.

Ushauri:
Usijihusishe na ngono kabla ya ndoa, huna sababu ya kufa kwa maambukizo kama hujaolewa.
Mkapime kabla ya kujamiiana kufuatana na kanuni za kupima zinavyokuhitaji.
Kuwa mwaminifu kwa mwenza wako,

.

Umesoma comment yangu vizuri kweli?
 
Ilikua ni jioni ya saa 9 unusu, anapiga simu kwa mpenzie mpya anaetwa Tuzo,huyu ni mpenzie wa pembeni yaani anaiba!!Wanapanga wakutane ili waongozane kurudi home!Anampa lifti ya kutoka ofisini kwenda home,wakiwa njiani wanaamua wapite wakafanye HIV Testing ili waweze kuingia katika anga nyingine ya mapenzi yaani kula nyama mbichi mbichi.Wanafika kituo cha afya na baada ya dakika 20 mhudumu anawaita tayar kwa majibu,Tuzo anaamua mkaka achukue majibu yote kisha ampe taarifa za majibu yote.Kibiriti anafuata majibu na mhudumu anamweleza kua yako majibu ya aina mbili kati yao POSITIVE and NEGATIVE Kibiriti anataharuki anaonyeshwa,kumbe mdada kaathirika lkn Kibiriti yuko ok(Negative).
Anashukuru MUNGU lkn tyr keshatembea na huyu mdada mara mbili kwa kutumia mipira,anatoka nje,kimbembe ni je amweleze dada ukweli ama asimweleze???
Wadau msaidieni....
..................Kibiriti anampeleka Tuzo nyumbani,njiani haamini lkn hajui aanzie wapi kumwambia mpenziwe,mdada anaonyesha wasiwasi kwani Kibiriti kabadilika saaana lkn wanafika nyumbani wanaagana bila Kibiriti kumwambia ukweli,je kafanya sahihi?
Amwambieje mwambieje??

.........................Kibiriti anarudi kwake kufika njiani anaamua kumtafuta mpenzie mwingine(Kibiriti ni mwingi),mpenzie huyu ndie anampenda ndo wake wa moyo,anapiga simu weeeeeeeeeeeeeeeee inaita weeeeee zote mbili kisha moja inazimwa,anapatwa na wivu anaamua ngoja nipite home kwake kufika saa 4 usku gonga hollaaaa hamna mtu.....gonga saaaaaana holla hamna kitu anakua around saa 5 vile anaona gari inasogea taratibu kuangalia ndani anaona mpnzie haswa yuko na bwana mwingine...mtandao wa ngono....
Anaenda kwa gari lile anatambulishwa eti 'boyfriend'!!!!
Anamuuliza mpenzie je kwa nn unazima simu na hupokei,anajibiwa eti chaji kuchukua simu kucheki simu iko full charged.....
Kimeo......anacheck message ndani anakuta message za wakaka.....

JE TUTAPONA na mtandao ngono????

Je kwa hali hiyo ya kwanza Kibiriti afanyeje???amwambie au?
Je huyu wa pili amfanyeje??Je amsamehe tu kwani nae alikua mwingi??

Kibiriti anakuja na hitimisho 'hataki tena kuchezea maisha yake,anataka kua responsible man,one man one woman now...

Message hii infikie Fidel80 na wengineo wote hapa.
Movie script bado yaendelea kuandikwa lkn wadau ebu toeni ushauri wenu hapo juu

Nimeshaona watu waliombiwa kwamba ni waathirika na kuishi maisha ya wasiwasi kwa miaka mingi na maisha yao kuharibika kabisa maana wengine walipoteza hata kazi kwa kukosa concentration kazini na baada ya miaka kupita ikaja kuonekana hawakuwa waathirika ila kuna makosa yalifanyika kwenye vipimo vyao. Wengi walifungua mashtaka na kulipwa fidia kubwa, hivyo inabidi mdada aambiwe ukweli na pia akafanye HIV TEST sehemu nyingine at least mbili tofauti ili kupata uhakika kama kweli ni muathirika.
 
Back
Top Bottom