Chupu chupu frm hiv infection;kibiriti na maisha ya umri wa kati

Nimeshaona watu waliombiwa kwamba ni waathirika na kuishi maisha ya wasiwasi kwa miaka mingi na maisha yao kuharibika kabisa maana wengine walipoteza hata kazi kwa kukosa concentration kazini na baada ya miaka kupita ikaja kuonekana hawakuwa waathirika ila kuna makosa yalifanyika kwenye vipimo vyao. Wengi walifungua mashtaka na kulipwa fidia kubwa, hivyo inabidi mdada aambiwe ukweli na pia akafanye HIV TEST sehemu nyingine at least mbili tofauti ili kupata uhakika kama kweli ni muathirika.
this is a nice and promise advise,we will work on it
 
Back
Top Bottom