georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,868
karibu sana. kama zipo nyingi unaweza kunipelekea by post.Aisee, siku nikija SBRI ndege ikaleta kokoro nakuja kwako kufua nguo na pichu.
karibu sana. kama zipo nyingi unaweza kunipelekea by post.Aisee, siku nikija SBRI ndege ikaleta kokoro nakuja kwako kufua nguo na pichu.
mnaanikaje chupi nje jamani...chupi,soksi pamoja na taulo vinaanikwa bafuni tena unafunga taa maalum kwa ajili ya kukausha na kuua bacteria
unakumbuka kunyosha kwa wanga!dah elimu ilikuwa yetu bwana!
jf is never boring...
wacha kabisa na nyimbo zetu za hii ndio A aa aa a ina mkia mrefu aa a aakabisa mdau,na walimu wetu wa UPE
Maisha ya watanzania si mwanaume wala mwanamke uongo uongo tu, hapo wachache sana watasema ukweli.
mi ninavyojua....% kubwa ya watu wanaanika bafuni.....wengine nyuma ya mlango.....wengine chini ya kitanda........na wachache sana tena sana ndio nje.....tusizenguane hapa......
Hivi bado kuna wanaotumia kufuli za kufua na kuanika? mimi natumia disposable. Unavaa ukivuwa, imetoka hiyo.
mnaanikaje chupi nje jamani...chupi,soksi pamoja na taulo vinaanikwa bafuni tena unafunga taa maalum kwa ajili ya kukausha na kuua bacteria
na wanaume mnakuwaga na chupi nyingi hivi?kha.hii pata ona bado!
Snowhite! Yote ni mambo ya usafi mtu wangu,hakuna mahali wamesema wanaume kuweni wachafu au wamesema wanaume kuweni na chupi chache hata wanawake wapo wenye chache kila akiingia kuoga anafua!
mimi ninayo moja, huwa nikiifua naivaa hivyo hivyo! hukaukia mwilini! sijawahi kuanika!
Utakua malaya, na utakua huvai chupi. Sasa kama huvai utakua unavua nini?