Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Huku uswahilini tunakoishi haiwezekani maana choo/bafu ni vya kugombania.mnaanikaje chupi nje jamani...chupi,soksi pamoja na taulo vinaanikwa bafuni tena unafunga taa maalum kwa ajili ya kukausha na kuua bacteria