IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Nilipofika Mtwara hivi karibuni nilifurahi sana kuona watu wengi sana wanafanya kazi huku.. Unajua hata mimi kabla niliwahi kupewa kazi kuja huku nikaipotezea?
Basi bwana nikafurahi tena kuona kuna vyuo vikuu vingi tu; SAUT, UTUMISHI, TIA, UALIMU, COTC, VETA .. Yaani nikafarijika kuwa wamakonde nao sasa wataelimika... Japo nilikuja kugundua kuwa maofisi mengi wamakonde ama ni walinzi, wafagizi au wapishi.. akijitahidi sana ni dereva!
Jioni moja nikajumuika na wananchi hawa wa Mtwara 'wa Kuja' kuburudika pale Litingi.. Mmh mambo niliyoyaona we acha tu. Wazazi kwa kweli fumbeni macho mnapowapa wanenu hasa wa kike fedha kuwa wanakuja shule.... Laiti ukija ukagongana naye njiani akitoka Litingi au Makonde Hall... Unaweza kuahirisha kutoa fedha yako!
Siku ya Pili nikapumzika sehemu yaitwa Gimbu... Mmh kumbe hapo ndo kuna Machangudoa kibao! Nikamuuliza Mshikaji wangu mmoja jirani akasema... 'MWE WE ACHA TU, HAWA WANAVYUO NDIYO KAZI YAO HASA WALE WA CHUO CHA UTUMISHI"
Ikanibidi kesho yake nitafiti zaidi kujua ukweli wa mambo na ukweli ni huu;
1. Wanafunzi wa Kike wa Chuo Cha Utumishi wa Umma huku Mtwara ndio wanaoongoza Kwa Ngono, Uchangudoa na Uchafu wa aina zote.....
2. Hawa ndiyo wanakuja kuutumikia Umma lakini ndio wauzaji wakuu wa Ngono Mkoani Mtwara.
3. Wamejaaliwa maumbo mazuri na mvuto na ni Waremba lakini kwao kuuza ngozi ni kazi moja kwenda mbele.
Nikakutana na jamaa mmoja ambaye alikuwa na Girlfriend wake wa Utumishi lakini akashindwa Gharama za Kumhudumia (30-50 alfu kwa siku) na siku moja akaamua kwenda Gimbu achukue CD wa kujipoza naye akaopoa kitu saaaafi.
Kufika ndani mwake si ni yule yule girlfriend wake wa Utumishi na leo dau lilikuwa alfu Kumi!!!
Mmmh yangu Macho..
==========
Basi bwana nikafurahi tena kuona kuna vyuo vikuu vingi tu; SAUT, UTUMISHI, TIA, UALIMU, COTC, VETA .. Yaani nikafarijika kuwa wamakonde nao sasa wataelimika... Japo nilikuja kugundua kuwa maofisi mengi wamakonde ama ni walinzi, wafagizi au wapishi.. akijitahidi sana ni dereva!
Jioni moja nikajumuika na wananchi hawa wa Mtwara 'wa Kuja' kuburudika pale Litingi.. Mmh mambo niliyoyaona we acha tu. Wazazi kwa kweli fumbeni macho mnapowapa wanenu hasa wa kike fedha kuwa wanakuja shule.... Laiti ukija ukagongana naye njiani akitoka Litingi au Makonde Hall... Unaweza kuahirisha kutoa fedha yako!
Siku ya Pili nikapumzika sehemu yaitwa Gimbu... Mmh kumbe hapo ndo kuna Machangudoa kibao! Nikamuuliza Mshikaji wangu mmoja jirani akasema... 'MWE WE ACHA TU, HAWA WANAVYUO NDIYO KAZI YAO HASA WALE WA CHUO CHA UTUMISHI"
Ikanibidi kesho yake nitafiti zaidi kujua ukweli wa mambo na ukweli ni huu;
1. Wanafunzi wa Kike wa Chuo Cha Utumishi wa Umma huku Mtwara ndio wanaoongoza Kwa Ngono, Uchangudoa na Uchafu wa aina zote.....
2. Hawa ndiyo wanakuja kuutumikia Umma lakini ndio wauzaji wakuu wa Ngono Mkoani Mtwara.
3. Wamejaaliwa maumbo mazuri na mvuto na ni Waremba lakini kwao kuuza ngozi ni kazi moja kwenda mbele.
Nikakutana na jamaa mmoja ambaye alikuwa na Girlfriend wake wa Utumishi lakini akashindwa Gharama za Kumhudumia (30-50 alfu kwa siku) na siku moja akaamua kwenda Gimbu achukue CD wa kujipoza naye akaopoa kitu saaaafi.
Kufika ndani mwake si ni yule yule girlfriend wake wa Utumishi na leo dau lilikuwa alfu Kumi!!!
Mmmh yangu Macho..
==========
Inawezekana! Mimi nadhani sio tu Mtwara.. Karibia sehemu zote zenye vyuo, tabia za kungonoka zimevuka mipaka..
Kwani hatujui kipindi flani mpaka sasa SAUT-Mwanza huko ilipambwa na kashfa za ngono mitandaoni?? TIA Singida ndo chuo kichafu kwa ngono Tanzania nzima!
Anyway, kwa Mtwara ni kwamba, baada ya kuanzishwa hivi vyuo (na Chuo cha Ualimu kitengo cha UDSM kinasimikwa huko), kuna wanafunzi wengi sana walitoka mikoani Kanda za kaskazini, Mbeya, Iringa na kwingineko, wenyeji ni wachache sana kwenye hivi vyuo, sasa hawa wadada/wakaka ndio wameichafua Mtwara kwa kiasi kikubwa.
Hawa wadada especially kwenye chuo cha SAUT wametia doa sana Mtwara. Ilifika kipindi hadi wenyeji wakawa wanawanyima kuwapa nyumba zao for rent. Walikuwa na kashfa ya kutoka/kutembea na baba mwenye nyumba. Isitoshe ukimpangisha mmoja watafika 10.
Kikubwa zaidi kilichopelekea kujiuza ni kwamba wale madent waliomba mkopo, serikali ikawaahidi waende mavyuoni watatumiwa huko!!
Sasa baada ya kuwa admitted, serikali ikawapa kisogo, ngoja ngoja ikawashinda wakaingia mtaani kwa spidi ya rocket.. Mpaka ilifika kipindi wale madereva wa bodaboda pale BIMA wakawa wanawaita ''buku 2''.. Yaani we ukiwa na buku2 tu unakamata mzigo.
Sasa ikaja point ya kushindana; SAUT na UTUMISHI... Mashindano ya mavazi na ngono, UTUMISHI nao wakaingia kwenye ngono na spidi ya kutisha!!
Ukimwi umezagaa sana kitaa, watu wengi wanakohoa huku!! Na mwaka huu kuna madent zaidi ya 1000 watakuwa admitted, so wenyeji sasa hivi wanawakodolea macho tu wanawaacha.. coz hawaaminiki, ni sumu.