Chuo cha MIPANGO kwachafuka Ffu wanarandaranda

Tena hao police inabid wayacharaze virungu hadi yakome.maji2 mazima yanagomea ujinga..ndo maana hata yalifeligi hadi yakaenda kusoma huko yaliko.
 
Tena hao police inabid wayacharaze virungu hadi yakome.maji2 mazima yanagomea ujinga..ndo maana hata yalifeligi hadi yakaenda kusoma huko yaliko.
hivi unajua cutt off point zake? na admission capacity? Hawachukui wa2 600 pale kwa course ni 75, point ni 11. BTW waache utoto wasitake kuleta shortcut katika kusoma, fateni utaratibu husika.
 
Duh!cpati picha hayo mambo yangeku udsm ingekuaje,maana pale cku ya presentation 2 wa2 wanajificha.


waache woga mbona sisi huju Asia ndio kawaida degree ni lazima udefend kwenye pannel,sasa hiyo wameintroduce Tz wanafunzi wanaigomea,hawana sababu za msingi za kugoma hapo mkuu.lazima wajifunze cofidence mbele ya watu.


Nani kawadanganya ndo wameintroduce siku hizi TZ, hapo UD watu wa CONAS na COET tuulishazoea, huwezi graduate bila presentation yako kwny panel. tena CONAS unakuwa na presentations mbili, km cc ilikuwa ya maths na physics. physics tulitengeneza 'digital inductance meter' ambayo kabla haikuwepo maabara na maths tulifanya' optimization of rooms allocation in halls of residance' for 8 months(2 semisters). ila nilisikia mwingne radioni anasema walimu wanamaliza ud ata'salfa' hawaijui, acheni siasa bhana. wa2 tupo tight sema serikali ndo inatupeleka shule hazina ht maabara, mishahara midogo, mazingra magumu. wao wanakula bata na vyeti vyao vya kuungaunga, lazima tuwachinjie baharini wasio na hatia.
 
Hawa jamaa wanataka kufanye eye to eye presentation.
Iye umepta ona wapi?yani kama mgonjwa na Dr.
 
wa mwaka jana waliomaliza waligoma na hawaku present hata mmoja.
Na wao wameiga,nilikuwa pande zile kuna jamaa aliingia alipowasha slide na kuanza kuiperuzi aka ambiwa kaanze upya.
Mengi yanatumi first draft,wengi hawakufanya taft wameandika tu.
 
ebu nenda sua au muhimbili ndo utajua ka unacho ongea ni cha kwel au lah.
We watu wa planning wanahaja gan ya kufanya eye to eye presentation?
Wale wapewa hela wakafanye reseach bt wamekuja na stail ya kugoma nani anataka kuwa na wasomi wa aina hiyo?
 
Taarifa kutoka chuo cha MIPANGO Dodoma zinadokeza kuwa askari wa FFU wanarandaranda hapo kukabiliana Na dalili za virugu zinazotaka kufanywa Na wanafunzi wa mwaka wa Tatu wanaomslizia disertation Zao baada ya kuelezwa kuwa wanafakiwa kupresent kwenye panel. Wanafunzi hao wanakwepa Hilo Kwa Maelezo kuwa utaratibu huo haumo kwenye prospectus ya Chuo Kwa kozi ya degree! Maendeleo mtaendelea kujulishwa

Mbona ni jambo zuri sana ku-defend research findings zako kwenye panel! Sasa wakifanya PhD ile viva wataikwepa vipi?
 
hawa jamaa waliwapg wenzao waliokubali juzi ku present.na wao wapgwaji hawakua tayari kutoa ushirikiano na police ili waliohusika wakamatwe.

Walichangishana hela 1000 kwa kila mwaka wa 3 ili watafte wakili wafungue kesi, na kama mahakama ingeridhia maombi yao,basi kwa mawazo yao walijua mahakama ingezuia hyo shughuli.
Lakini ilishndkana.
 
hawa jamaa waliwapg wenzao waliokubali juzi ku present.na wao wapgwaji hawakua tayari kutoa ushirikiano na police ili waliohusika wakamatwe.

Walichangishana hela 1000 kwa kila mwaka wa 3 ili watafte wakili wafungue kesi, na kama mahakama ingeridhia maombi yao,basi kwa mawazo yao walijua mahakama ingezuia hyo shughuli.
Lakini ilishndkana.
Kiukweli wamefanya mambo ya aibu,mimi napenda sana watu wagome kutetea haki zao pale haki inapopindishwa ila c kwa jambo hili.
Kugoma kwa upuzi huu mi cungi kabsa mkono.
Utakuwaje graduate wa bachelor kama unakimbia kupresent reseach uliyoifanya katika public?
Uu upuzi
 
Waende wakajifunze kwa wenzao saut haugraduate pale bila kupresent na kudefend research na kufaulu, na tena haugraduate bila kupiga comprehensive oral examination-na yote haya huwa mbele ya panel!
 
Haaaaa! Mipango jamaaani kunani? Tena nyie si wanafunzi wangu wa lile somo.....Najua kuna zaidi ya hiyo..... maana pale kuna vimeo vingi sana
 
Tena hao police inabid wayacharaze virungu hadi yakome.maji2 mazima yanagomea ujinga..ndo maana hata yalifeligi hadi yakaenda kusoma huko yaliko.
<br />
<br />
i'm not sure with u'r education level.
 
Tena hao police inabid wayacharaze virungu hadi yakome.maji2 mazima yanagomea ujinga..ndo maana hata yalifeligi hadi yakaenda kusoma huko yaliko.
<br />
<br />
acha kuongea pumba wewe., una huakika kuwa walifeli, vyuo vipo vingi hapa tz, wewe ulitaka wasome wapi.
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
acha kuongea pumba wewe., una huakika kuwa walifeli, vyuo vipo vingi hapa tz, wewe ulitaka wasome wapi.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />chuo kikuu.
 
Tena hao police inabid wayacharaze virungu hadi yakome.maji2 mazima yanagomea ujinga..ndo maana hata yalifeligi hadi yakaenda kusoma huko yaliko.
<br />
<br />
mmmh hv kufeli kwa mtu unapimaje na walio mtaani 2tawaitaje? Yan nazidi kuona uwezo wako wa kufikili ulipo, kufaulu c kupata div1 form six, naamini mtu yeyote aliyepo university au kweny taasisi ya elimu ya juu ana mchango kwa jamii, so huwez muita amefeli maisha c yalivyo kama unavyofikiria, mwisho ushauri kama kitu hukifahamu usichangie, kwanza wew hujafikia level ya kufanya research ukajua ugumu upo wap? So ni halali kwa hawa jamaa kugoma coz ni zaidi ya level yao pia gharama 2lisoma vyuo 2kafanya research 2najua ndo maana ha2wapigi kwa msimamo wao.
 
Hapo ujue tu ni woga tu wa kuongea kiingereza mbele ya pannel, simple!!Wangeambiwa mtatumia lugha muitakayo usingeona mtu anagoma!!
 
Back
Top Bottom