Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,417
Umri wako bado unaruhusu kutoka chunusi...
Ila angalia na aina ya ngozi yako ...maana kama una mafuta mengi inabidi uwe makini na sabuni za kuogea.
Mara nyingi sabuni nzuri ni za lemon(zilizotengenezwa kwa limao)....
Ila mkuu[MENTION]Mzizi Mkavu[/MENTION] anaweza kukusaidia pia japo kwa ushauri tuu....
Ila angalia na aina ya ngozi yako ...maana kama una mafuta mengi inabidi uwe makini na sabuni za kuogea.
Mara nyingi sabuni nzuri ni za lemon(zilizotengenezwa kwa limao)....
Ila mkuu[MENTION]Mzizi Mkavu[/MENTION] anaweza kukusaidia pia japo kwa ushauri tuu....