Facial treatment / matibabu ya uso

Pinacoladee

JF-Expert Member
May 22, 2023
359
419
Hello, wapenzi wangu kama mnavyojua nyuso zetu zinakumbana na changamoto nyingi,kma chunusi, makovu, weusi kwenye macho na mambo mengi kutokana na sababu mbalimbali kama hormones, jua, vyakula n.k ambazo zinapelekea kuharibu nyuso zetu.

Hivyo basi ili kuweza kuhakikisha nyuso zetu zinabaki kua nzuri za kuvutia tunatakiwa kua na utaratibu wa kuhudumia nyuso zetu wngine wanasema wanafanya facial treatment, wengine wanaenda kwenye masaluni yanayotoa huduma izo but kuna wengine wanafanya nyumbani, so let's share together unafanya nini kutibu uso wako?

Binafsi mimi nafanya facial treatment mara 2 kwa wiki au mara 1 hasa nikiwa busy sana but most time nafanya mara 2 kwa wk.
1.naosha uso wangu na sabuni au face wash( uso wangu ni wa mafuta hasa mashavuni na kwny paj la uso)
2.Najifusha/facial steaming
3.Nafanya scrub,apa mimi mara nying natumia manjano na liwa na mix na asali,au kuna siku natumia mtind badala ya asali, namix nasugulia usoni then nakaa kwa dk 15 nanawa na maji barid ya kwnye fridge sometimes
4.Baada ya apa naendelea na taratibu nyingine ntafanya massage ya uso then ntapak serum after seconds ntapaka lotion yangu imeisha iyo.
So ebu share nasi jinsi unavyotibu uso wako,tushauriane pia tips kulingana na aina za ngozi zetu.
 
sijaona sunscreen kwenye routine yako babe

kama unafanya hayo yote then haupaki sunscreen unaichosha ngozi, unless lotion unayopaka iwe na SPF kuanzia 50
au 60
yan apo ndo ninapofail,nawez nkanunua nkapak ikiisha najisahau yn ckizingatii sna,ngj ninue tu
 
Nikishaosha uso na Cerave
Napaka moisturizer ya garnier.
Sunscreen
Poda ponds
Naishia…

Usiku.
Sometimes scrub ya oil balancing ‘neotrogena.
Cerave face wash
Nachukua pamba nafuta futa uso cleanser ya Vivo
Am done.
 
Hello,wapenzi wangu kama mnavyojua nyuso zetu zinakumbana na changamoto nyingi,kma chunusi,makovu,weusi kwny macho na mambo mengi kutokana na sababu mbalimbali km hormones,jua,vyakula n.k ambazo zinapelekea kuharibu nyuso zetu..Hivyo basi ili kuweza kuhakikisha nyuso zetu zinabaki kua nzuri za kuvutia tunatakiwa kua na utaratibu wa kuhudumia nyuso zetu wngine wanasema wanafanya facial treatment,wngine wanaenda kweny masaluni yanayotoa huduma izo but kuna wengine wanafanya nyumbani..so let's share together unafanya nn kutibu uso wako?
Binafsi mm nafanya facial treatment mara 2 kwa wiki au mara 1 hasa nikiwa busy sana but most time nafanya mara 2 kwa wk.
1.naosha uso wangu na sabuni au face wash( uso wangu ni wa mafuta hasa mashavuni na kwny paj la uso)
2.Najifusha/facial steaming
3.Nafanya scrub,apa mimi mara nying natumia manjano na liwa na mix na asali,au kuna siku natumia mtind badala ya asali,namix nasugulia usoni then nakaa kwa dk 15 nanawa na maji barid ya kwnye fridge sometimes
4.Baada ya apa naendelea na taratibu nyingine ntafanya massage ya uso then ntapak serum after seconds ntapaka lotion yangu imeisha iyo.
So ebu share nasi jinsi unavyotibu uso wako,tushauriane pia tips kulingana na aina za ngozi zetu.
Uzi unawafaa wanawake vijana,ila hawa wakwetu ngozi imeshakataa,na ukifata huo utaratibu watoto wanaweza kukuota usiku...
 
Back
Top Bottom