ulivyoandika hapa inaonyesha hata ww bado unampenda!jamani baada ya my x kunimwaga, na kutokuwa na mawasiliano nae almost 6 months. Aliniumiza sana sana, kifupi alinitenda. Niliwah kuchangia thread moja nikirefer my experience. Nilishaanza kumsahau kabisaa, and maisha yangu yanaendelea kwa furaha bila mahusiano yeyote.
Eti juzi kanemail the xmas card, na jana kanitext akiniwish xmas na mwaka, mpya.
Is he crazy? Does it make sense?
Anadhani naweza kumwelea?
Usnichekeshe babu, mahawara huwa.....................................
Nadhani punishment ya kutokumjibu na kumignore for good inamtosha sana babu. Au?
Amechezea shilingi chooni, imedumbukia.
Babu unausemea moyo wangu mbona?
Ana lake jambo. Siku zote alikuwa wapi asinisalimie?
ulivyoandika hapa inaonyesha hata ww bado unampenda!
mtu kukutakia heri ina shida gani labda utueleze kuna mengine zaidi ya hayo
FOR GOOD BABU.
Akafie mbali, nimekupata vizuri tu
Tatizo la huyu mjukuu wangu ni kwamba miezi 6 ubaada ya kuachana na BF wake bado hajielewi....
Labda kwa hii counselling atarudi kwenye normal na kuusikiliza moyo wake!!
umeona babu huyu jamaa bado hajisomi kuna heri iliyo heri kama mtu kukutakia heri kipindi hiki moyoni ni kupokea na kuomba yote yawe ya heri na baraka tele.
....pupwe lina msisimko kwa kondoo mwenye manyoya haba....jamaa kabonyeza restart button,...lol...
'msukule!' wa hisia.
Hebu msaidie huyu mjukuu wangu apate mauzoefu!!
Nimefuatilia sana story ya Koku na sina shaka katika ubongo wangu uliochoka kwamba jamaa yuko mbioni kumrudisha mwandani wake mikononi mwake!!
....mstaafu, ninachokiona mimi hapo jamaa anajaribisha plug ipi bado inachoma....na kwa muonekano wa mjukuu wako, kuna kila dalili gari inaweza pigishwa starter japo gear namba moja tu ndiyo inayofanya kazi!...
haya mambo ya kujiapiza wakati kiroho kinadundia mnh, jamaa akiendelea kuchokonoa plug, hadithi ya 2012 itakuwa nyingine!
Kwanza sina historia ya kuwa au kupitiwa midume mingi as u said.
Pili ninajiheshimu na ninaheshimika sana.
Tatu alikuwa miongoni mwa wachache walioweza kupata mapenzi yangu ya dhati, then akalichezea, tena akaniacha nikiwa ktk very hard time, nikisema hard time namaanisha hard time in all aspect of life.
Nne nilishamsamehe, ndo maana naendelea na maisha yangu, na sijakurupuka kutafuta mwingine sbb sihitaji. It is also too late for him. No room 4him again.
It happened to me as a man. Nilimdisi mdada mmoja kwa sababu ya ujinga wangu by then, nikamchanganya sana afya yake ikayumba na mpaka ACSEE akaambulia ziro japo ni kichwa kweli, akanichukia sana tena sana sana.Nikaendelea na maisha akaendelea na maisha.Baada ya kujifunga kwa mdada mwingine, those feelings za kwamba ingekuwaje ningekuwa na wa awali daima zinanitesa! Then one day, after five years bila mawasiliano naye, she called. Kwamba amenisamehe, kwamba she wishes she was married to me,kwamba she is just married as part of life, but it is me she loves! Wandugu, niliumia sana na kufedheheka kweli. Halafu mbaya zaidi, mmewe anafanya kazi nje ya TZ, mke wangu anafanya kazi mkoa mwingine, na mimi na yeye tuko mkoa mmoja! Tumebaki kujiuliza kwa nini, WHY?
Nimalizie kwa kukusihi mpendwa, mapenzi yanaitwa mapenzi kwa sababu.That man is your sadness kwa sasa, lakini huenda ndio furaha yako ya kweli duniani. Usijifiche,usione aibu, wellcome him back kabla hujachelewa.Usijidanganye unaweza kuyaviza mapenzi hivi hivi, utaishia kujiumiza na kujidhulumu. Go back to him my dear, you gave him your all, it seems, he is ready to give you his all!