Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,594
Huna haja ya kuwaza na kuwazua kama umesha move on. Soma, delete, songa mbele na maisha yako. Unless you tell me you are not yet over him.
du!!mbona hi thread ka inanhusu?
Pole sana Koku,
Naamini unakumbuka maneno yangu ya siku ile......Mie naamini mchakato ndo unaanza upya.....
Siku ile sikutaka kuwa mtabiri...ila nahofia muda si mrefu unaweza kuniita Shekh Yahya bure!!
Babu ulikuwa wapi babu?
Nilikukumbuka sana na nilikumbuka maneno yako. Lkn sirudi nyuma babu. Ng'ooo. Am happy with the life am in now.
Nilikumiss Babu DC
Pole Koku,
Nilipigwa Ban ya siku 2 na Bibi DC.....Si unajua tena....alitaka kuhakikisha wajukuu wanamaliza siku kuu salama!!
Sasa Koku, unadhani hii ngoma ni ya kitoto ambayo haikeshi?? Kama una mawazo kama hayo basi umeulamba wa chuya!1
Unajua kwa nini matangazo ya biashara yanarudiwa rudiwa kila siku??
Baada ya hii trailer movie itaanza soon!!
Babu DC!!
Jamani baada ya my X kunimwaga, na kutokuwa na mawasiliano nae almost 6 months. Aliniumiza sana sana, kifupi alinitenda. Niliwah kuchangia thread moja nikirefer my experience. Nilishaanza kumsahau kabisaa, and maisha yangu yanaendelea kwa furaha bila mahusiano yeyote.
Eti juzi kanemail the xmas card, na jana kanitext akiniwish xmas na mwaka, mpya.
Is he crazy? Does it make sense?
Anadhani naweza kumwelea?
Huna haja ya kuwaza na kuwazua kama umesha move on. Soma, delete, songa mbele na maisha yako. Unless you tell me you are not yet over him.
Wala sikufurahia pilu.
Aliyonitendea wala siwezi kusoma hzo wishes zake as u said. Nilishazidelete. Frankly sina mtu na sitegemei kwa siku za karibuni. What i did is to share this experience as before.
hudhan kwakutuma salam zake za sikuku ni kama kesha regret kwa aliyotenda labda anataka nafasi mpya aonyeshe penzi kama lililokuvutia awali adi mkawa pamoja ? Uwe na moyo wakusamehe dada coz utajikuta mwisho wa siku ushakua na midume kibao na dhaman yako ikashuka dia.
duh, hilo jibu lingemfaa sana.Mwambie "You know i dont Miss u anymore and I will NEVER be with you,and Im enjoying my X-Mass without you Kilaza pori"
Aah, bibi yetu mzuri sana.
Inabidi akupe ban tena from 30th hadi 2nd january wajukuu waendelee kufaidi na yeye kufaidi zaidi, eti?
Aaa wapi babu. Milango ilishafungwa na moyo ulishaganda.
Anajipendekeza nini sijui. Hakuna ngoma itakayochezwa tena. Kungwi kashaipasua na ngozi ameichoma.
So no possibility , even -0.0000.
How was the xmas?
If he has been able to awake your feelings (nzuri au mbaya) maana yake bado yupo moyoni mwako, ni hasira tu zinakudanganya, unadhani humpendi. Kama kweli huna feeling nae kwa nini card yake ikuumize kichwa?
Just ignore him vile ulikua ukifanya., but also deal with yourself, hisia zako zisije zikakuaibisha siku moja.
RR,
Mambo ya mapenzi ni magumu kuliko hata diamond....Koku bado anampenda sana jamaa yake na ndiyo maana kitu chochote kinachomkubusha those old good days kinamuumiza sana...
Maadam jamaa keshajirudisha....ningemshauri ampe bonge la punishment + extended probation ili ajiridhishe kama jamaa karudi kweli halafu wasonge mbele... Otherwise, mzimu wa huyo bwana utamwandama siku zake zote!!
Sitaki kuwa mtabiri ila katika hii issue ya Koku, sitajali kupewa jina hilo!!
Remember,......"Mahawala huwa hawaachani, bali wanatengana tu!!!"......Babu Asprin
Babu DC!!
Babu ni adhabu gani inawafaa hawa watu, wanaopenda kuondoka na kurudi tena