Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
That is the mistake that i dont want to do babu.
Huko alikoamua kwenda aendelee nako, awaimbie hao.
Koku mdogo wangu,
Kuna mtu alinambia kuwa dhambi ya kuunganisha miili ni kubwa kuliko zote kwani kila ukimwona mtu yule unakuwa kama unatenda dhambi tena!!
Amini usiamini, huyu jamaa atabaki kuwa wako milele hata kama anaweza asiwe namba moja...Hata yeye najua analitambua hilo!!
Nahofia msije kuanza kuchonoana baada ya kuwaingiza watu wengine kwenye loop!
Babu DC!!