Nadhani its about time tukaelekeza mashambulizi kwa MUSTAFA MKULLO...waziri wetu wa UCHUMI mwenye degree feki
Mkuu GT Heshima mbele
Naunga mkono hoja,This guy pia hatufai.
Nadhani its about time tukaelekeza mashambulizi kwa MUSTAFA MKULLO...waziri wetu wa UCHUMI mwenye degree feki
Mkuu GT Heshima mbele
Naunga mkono hoja,This guy pia hatufai.
Nimeimba sana kwanza muelewe kuwa hawa mafisadi hawajaanza leo walikuwepo toka era ya Nyerere na walikuwa wakibebwa na kulindwa na CCM.
Sasa ametokea Mzalendo kisura wetu Kikwete kwa baraka zake i mean ameruhusu system iwaweke hawa mafisadi hadharani hii ina maana wakati wa Nyerere,Mwinyi na Mkapa hawa mafisadi walifichwa na kulindwa,hawa mafisadi ni very powerful na wana mtandao mkubwa sana...huwezi ukawa rais na ukaweza kuvunja mtandao wenye mizizi takriban 50yrs overnight.
Naimba tena tumpe credit JK kidogo
Kamfichua yupi ?Wakati naye akiambiwa alikuwa anadai hizo ni kelele za mlango hazimzuii kulala sio yeye.
Wote wanao fedheheka sasa maswahiba wake ukianza EL bunge ndio limemuumbua na yeye bado akataka kusafisha na kusema alikuwa mchapa kazi na hiyo ni ajali tu ktk siasa.Ya Chenge wanaoifuatilia ni SFO ya UK ,sasa unadai yeye kamfichua nani?Karuhusu system gani au system inamshinda nguvu ,na wafadhili wanadai yasipofanyiwa kazi no msaada unachua hilo.
Amejiuzulu, then what??
Tofauti na mwenzake Lowassa, kujiuzulu kwa huyu hakuna impact yeyote unless he is taken to court soonest. Tatizo huyu Rais wenu haambiliki. He was advised wakati wa kuunda baraza jipya atupilie mbali kina Chenge, cheki sasa walivyomchengua!
Lets wait and see
apewe ZAINAB GAMA
Hiyo ni just "assumption" its remained to be seen!After all there's nothing tangible and moving that he did to prove that to the people!The president is the one and the only one to end this once and for all!Haya mambo gemu kama za paka na panya hayana msingi..there's no more room for political games!Biashara ya kumega muhindi kidogo kidogo ku shut up the holla siyo constructive hata kidogo kwenye issue hii nyeti na nzito!We know that we're poor but that does not constitute to ignorance!Tunajua mh rais ana nguvu na mamlaka makubwa sana yanayolindwa kikatiba yatakayomwezesha kudeal na hii issue bila woga wa maisha yake binafsi!Atakachopoteza ni marafiki na umaarufu miongoni mwa tabaka la mafisadi!Akubali tu anaweza akaumbuka kidogo!Lakini huo ndio uanaume..tutamsamehe..apige moyo konde na ajitupe upande wa wazalendo..there's no any other way round!Ni suala la yeye kuamua kuchukua maamuzi magumu na kuwa mpweke..upweke ambao utaisha kwani atapata upendo mkubwa kutoka kwa wananchi na hivyo kuweza kusahau kuhusu marafiki zake wakuu mafisadi waliomtega kwa kumchangia mapesa kwenye kampeni yake!Mh rais afungue macho na kuona kuwa watanzania nao wanafungua macho!Wakuu, kama Chenge asingekuwa waziri kuna uwezekano mkubwa hii "kashfa" isingetolewa hadharani. Muungwana alifanya vizuri kumuacha ndani ya serikali ili awe "visible" zaidi.
apewe ZAINAB GAMA
I am still undergoing some training but I will be back to my people and make a general cleanup of all corrupt officials. Watanzania Msifadhahike maana mungu wetu amesikia kilio chenu na kuamua kunituma mimi kwenu.....THESE PEOPLE ARE PATHETIC GOD FORGIVE THEM FATHER BECAUSE THEY DON'T KNOW WHAT THEY ARE DOING.
Apewe Pombe
sasa akilewa nchi itafika.. ama?
Ila wakuu with all that said,, mtakumbuka kuwa alipoteuliwa mara ya pili mwezi February kinyume na matarajio ya wengi, alisema kuwa kwa wale wanaoshangaa wakamuulize aliyemteua (Mh Rais) ...sasa mi naona kama amemdalilisha sana JK katika hili!
Na pia najiulize je, kama JK alikuwa anayajua haya, assuming kuwa lishahabarishwa na RO, je alimwacha kwa makusudi aanguke mwenyewe na yeye akabaki kunawa mikono kama pilato?
Na huu msalaba ataubeba chenge peke yake au kutakuwepo na wa kumsaidia kama ilivokuwa kwa EL?
Udhaifu wa kiongozi ni pamoja na kutokuwa na uwezo wa kupima na kuchanganua mambo mhimu unayousiwa, ikiwa ni pamoja na kutojua kutumia nyenzo zote ulizopewa kisheria uzitumie kukusaidia kuboresha kazi yako.
Mpaka sasa siamini kabisa kama Jakaya Kikwete na yeye sio fisadi. His 'cleanliness'...to me, just doesn't pass the believability test.
mimi nitakuwa more comfortable na Mbunge wa Mafia. Afterall hawa wenye ma PHD ndio wanatumaliza zaidi
najua ni extreme lakini ukichunguza tazama akina MKULO na elimu zao wana kashafa ngapi?