Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 920
Hivi karibuni kumezuka na fasheni ya kuvaa nguo za kuacha wazi matiti kwa asilimia 75 yanaonekana mpaka kwa kinamama na makanisani hii inawafundisha nini watoto na ata ambao hawamjui mungu kwa kusingizia mungu anaangalia moyo?ukweli ni kwamba mungu anakaa patakatifu na alisema kilichopo ndani yamtu ndicho kionekanacho nje na vivyo kuvaa nusu uchi inaonesha kuna tamaa zinazowafuata watu mpaka makanisani,vilevile kwa wanao amini biblia imesema wanawake wavae mavazi yakujistili je wanao vaa mavazi nusu uchi kanisani na ata nje ya kanisa wanafuata maandiko yapi? kwa sababu niwana dini zote mbili zinatukataza.naomba mchango wako labda kuna cha kujitetea ninyi karibu kwa mchango wako.