Chanzo kikubwa cha kupungua nguvu za kiume ni wanaume kuangalia wanawake wanaotembea nusu uchi

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,204
10,949
Maneno yamekuwa mengi tangu vibarazani mpaka kwa madaktari kukisia dawa ya ugonjwa unaowasumbua baadhi ya wanaume.

Waganga wa kienyeji nao wanajipatia riziki kwa kuuza dawa wanazosema zinasaidia kuongeza nguvu za kiume lakini bado tu tatizo lipo.

Mabarabarani nako utakutana na wasichana wauzaji vyakula vya asili wakisema vinarudisha hizo nguvu lakini bado tu tatizo linaendelea kusumbua.

Chanzo kikubwa cha kupungua nguvu za kiume ni wanaume kuangalia wanawake wanaotembea nusu uchi.

Kwa shani yake Mwenyezi Mungu kawaumba wanawake katika maumbile mazuri sana na kuvifanya viungo vyao vivutie jicho la mtazamaji. Hakumalizia hapo akawataka viumbe wake wavae nguo ili kuvifuniko viungo hivyo ili visionekane kwa wasio waume zao.

Hata wakiwa kwa waume zao huko ndani pia wanatakiwa wasijiachie moja kwa moja.Wavae mavazi mepesi kama kwamba wanawaonea haya waume zao hao.

Athari ya wanawake kuonesha mapambo ya viungo vyao huko nje ni kuwa wanaume hata wasiopenda kuwaangalia huwa wanawaona na kugandisha sura zao akilini mwao.

Wanapofika ndani badala ya kukazia kuawaangalia wake zao akili huwa zinawarudisha kule barabarani. Kwa kila uzuri alionao mke wako lazima kutakuwa na wengine uliowaona wakiwa nusu uchi wakiwa wazuri kuliko wa kwako.

Mwisho wa yote matamanio yanagawnyika baina ya pale chumbani na kule barabarani.
 
Wewe ni limbukeni acha kuzungumzia upwiru na nguvu..!
Upwiru ni hamu nguvu ni hiyo hamu in action! Sa wengine wanamatatizo yakiafya hawawezi.. uliyoandika hapo siyo sababu yenye nguvu maana babu na baba zetu wameishi na wake zao wakiwaona lkn bado wanapiga libeneke!.
Ukweli mchungu upo hapa life style ya mlo ya Sasa inaharibu vitu vingi mno kwenye miili yetu!..
Nachojua Mimi mtu anaeona maungio ya mwenzi wake ndio hamasa inamuongezeka mara dufu kama wewe haupo hivi ndugu kapime hata hormone ya kiume uone kama imebalance ukute ipo kiduchu tu!.

Wengine sio kwamba wanamatatizo ya kimwili bali kisaikolojia wengi Wana sex anxiety,akikaa peke yake dudu inadinda fresh tu ila awekwe na mdada mambo yanalala...! Hawa wa hivi mi nawashauri tiba yao ni wadada haohao isipokuwa tu apate mwenza muelewa lkn ukipata hawa wa uswahilini akili mbili atakutukana,utasemwa dudu iliyokiwa imelala inalala Tena na Tena Ile anxiety inazidi mara dufu na huenda tatizo likawa sugu!.

Mi mtu inaenda kunywa midawa yakuongeza hamu mwishowe inaangamia bure!.

Mkuu mi napingana nawewe kwa hiyo hoja yako,mwili unamuundo wake bana
 
Huo ni uongo mtupu, tena ni ujinga kuamini hayo maupupu uliyoandika.
Tangu enzi ya uumbaji Mungu aliumba viumbe woote wakiwa uchi na utupu. Mavazi na makorokoro mengine vimekuja baada ya dhambi kuingia.
Ndio maana mpaka leo mwanamke wa kiafrika bado yuko uchi wakati wa kunyonyesha.
Leo hii sisi waafrika tunajifanya tuko uchi ety wastaarabu! 🥱
Wakati mavazi yenyewe wametuletea wazungu juzi tu hapa.
Tumesahau kuwa asili ya mwafrika kukaa uchiiiiii???
Hao wazungu waliotuletea hayo manguo leo wanakaa uchi lkn wala hawabakani na wala hawana hayo matatizo ya kupungukiwa nguvu zaidi ya kujitoa fahamu tu walizonazo.
Leo hii unamuona mwafrika na jua kali lotee amejifunika mishuka meusi tiii kuanzia utosini mpaka unyayoni kisa kaambiwa ajistili atapata thawabu kwa Allah ....
Ndio maana magonjwa mengi yanawapata mama zetu kila kukicha.
 
Maneno yamekuwa mengi tangu vibarazani mpaka kwa madaktari kukisia dawa ya ugonjwa unaowasumbua baadhi ya wanaume.
Waganga wa kienyeji nao wanajipatia riziki kwa kuuza dawa wanazosema zinasaidia kuongeza nguvu za kiume lakini bado tu tatizo lipo.
Mabarabarani nako utakutana na wasichana wauzaji vyakula vya asili wakisema vinarudisha hizo nguvu lakini bado tu tatizo linaendelea kusumbua.
Chanzo kikubwa cha kupungua nguvu za kiume ni wanaume kuangalia wanawake wanaotembea nusu uchi.Kwa shani yake Mwenyezi Mungu kawaumba wanawake katika maumbile mazuri sana na kuvifanya viungo vyao vivutie jicho la mtazamaji.Hakumalizia hapo akawataka viumbe wake wavae nguo ili kuvifuniko viungo hivyo ili visionekane kwa wasio waume zao.
Hata wakiwa kwa waume zao huko ndani pia wanatakiwa wasijiachie moja kwa moja.Wavae mavazi mepesi kama kwamba wanawaonea haya waume zao hao.
Athari ya wanawake kuonesha mapambo ya viungo vyao huko nje ni kuwa wanaume hata wasiopenda kuwaangalia huwa wanawaona na kugandisha sura zao akilini mwao.Wanapofika ndani badala ya kukazia kuawaangalia wake zao akili huwa zinawarudisha kule barabarani.Kwa kila uzuri alionao mke wako lazima kutakuwa na wengine uliowaona wakiwa nusu uchi wakiwa wazuri kuliko wa kwako.Mwisho wa yote matamanio yanagawnyika baina ya pale chumbani na kule barabarani.
Uko sahihi
 
Maneno yamekuwa mengi tangu vibarazani mpaka kwa madaktari kukisia dawa ya ugonjwa unaowasumbua baadhi ya wanaume.
Waganga wa kienyeji nao wanajipatia riziki kwa kuuza dawa wanazosema zinasaidia kuongeza nguvu za kiume lakini bado tu tatizo lipo.
Mabarabarani nako utakutana na wasichana wauzaji vyakula vya asili wakisema vinarudisha hizo nguvu lakini bado tu tatizo linaendelea kusumbua.
Chanzo kikubwa cha kupungua nguvu za kiume ni wanaume kuangalia wanawake wanaotembea nusu uchi.Kwa shani yake Mwenyezi Mungu kawaumba wanawake katika maumbile mazuri sana na kuvifanya viungo vyao vivutie jicho la mtazamaji.Hakumalizia hapo akawataka viumbe wake wavae nguo ili kuvifuniko viungo hivyo ili visionekane kwa wasio waume zao.
Hata wakiwa kwa waume zao huko ndani pia wanatakiwa wasijiachie moja kwa moja.Wavae mavazi mepesi kama kwamba wanawaonea haya waume zao hao.
Athari ya wanawake kuonesha mapambo ya viungo vyao huko nje ni kuwa wanaume hata wasiopenda kuwaangalia huwa wanawaona na kugandisha sura zao akilini mwao.Wanapofika ndani badala ya kukazia kuawaangalia wake zao akili huwa zinawarudisha kule barabarani.Kwa kila uzuri alionao mke wako lazima kutakuwa na wengine uliowaona wakiwa nusu uchi wakiwa wazuri kuliko wa kwako.Mwisho wa yote matamanio yanagawnyika baina ya pale chumbani na kule barabarani.
Tatizo la kupoteza nguvu linasababishwa na mavyakula tunayokula wala sio maungo ya dada zetu, kama ingekuwa hivo babu zetu wasingeweza kuoa wake wengi na kuwazalisha watoto weeengi.
Maana enzi hizo nguo ndo zilikuwa hakuna kabisa majitu yanatembea matupuuu
 
Huo ni uongo mtupu, tena ni ujinga kuamini hayo maupupu uliyoandika.
Tangu enzi ya uumbaji Mungu aliumba viumbe woote wakiwa uchi na utupu. Mavazi na makorokoro mengine vimekuja baada ya dhambi kuingia.
Ndio maana mpaka leo mwanamke wa kiafrika bado yuko uchi wakati wa kunyonyesha.
Leo hii sisi waafrika tunajifanya tuko uchi ety wastaarabu! 🥱
Wakati mavazi yenyewe wametuletea wazungu juzi tu hapa.
Tumesahau kuwa asili ya mwafrika kukaa uchiiiiii???
Hao wazungu waliotuletea hayo manguo leo wanakaa uchi lkn wala hawabakani na wala hawana hayo matatizo ya kupungukiwa nguvu zaidi ya kujitoa fahamu tu walizonazo.
Leo hii unamuona mwafrika na jua kali lotee amejifunika mishuka meusi tiii kuanzia utosini mpaka unyayoni kisa kaambiwa ajistili atapata thawabu kwa Allah ....
Ndio maana magonjwa mengi yanawapata mama zetu kila kukicha.
Hao wazungu wanawake wao wanatembea uchi,mpaka wameshazoea,hawasisimki tena wanaume,ndio ukiona wanawake wa kizungu wanakuja Afrika kitalii,wanatafuta wamasai na wenye rasta,wakati hao wamasai na wenye rasta,wanakula dawa za kuongeza nguvu za kiume.
 
Back
Top Bottom