Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,035
- 213
Ugeni wa mambo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.......Hiyo ni fashion tu, vumilia kidogo itapita kama inakukwaza........sio uzinzi huo hata wanawake wenye ndoa zao wanaitinga.
.......Hiyo ni fashion tu, vumilia kidogo itapita kama inakukwaza........sio uzinzi huo hata wanawake wenye ndoa zao wanaitinga.
nijisikia raha zaidi nikivaa hivyo, hewa ya kumwaga kifuani
.......Hiyo ni fashion tu, vumilia kidogo itapita kama inakukwaza........sio uzinzi huo hata wanawake wenye ndoa zao wanaitinga.
Ndiyo maana nimesitisha kuingia makanisa ya mijini!! kwa kiwango fulani wanawake waendao makanisani uvaaji wao ni kama wa mabaamedi, bora baamedi huwaga wanavaa hata t-shirts ambazo zinafunika vifua vyao na hata visuruali japo vingi ni vya kubana ili makalio yao yasitikisike.
mzee we nenda kanisani na usali kwani ndicho kilichokupekeka huko na hivyo acha kuangalia wanawake wamevaa nini
.......Hiyo ni fashion tu, vumilia kidogo itapita kama inakukwaza........sio uzinzi huo hata wanawake wenye ndoa zao wanaitinga.
.......sio uzinzi huo hata wanawake wenye ndoa zao wanaitinga...
Aliyekwambia wanawake wenye ndoa zao hawazini nani??
Kwani wanawake wenye ndoa hawazini?
Kwani kuwa kwenye ndoa kuna epusha uzinzi? Wake za watu wnamegwa zaidi ya mashingingi mtaani.
......... Naona wanaume mmenijia juuu, kama mnakwazika hizo ni tamaa zenu wenyewe.Kweli wapo baadhi ya wanawake waliopo kwenye ndoa wanazini..........lakini kuvaa hivyo haimaanishi mtu mzinzi......wapo waaminifu kwenye ndoa zao na bado wanavaa hivyo.........Umesemajeee?
......... Naona wanaume mmenijia juuu, kama mnakwazika hizo ni tamaa zenu wenyewe.Kweli wapo baadhi ya wanawake waliopo kwenye ndoa wanazini..........lakini kuvaa hivyo haimaanishi mtu mzinzi......wapo waaminifu kwenye ndoa zao na bado wanavaa hivyo.
Poleni ehehehehe kwa kukwazika na hiyo fashion.
Chanzo cha ukahaba na uzinzi kwakweli ni dada zetu jamani nyie ni chanzo binafsi napata shida sana napokuwa kwenye mizunguko yangu kila nnaye muona mara huyu maziwa nje,yule mapaja yote nje,pale chupi yote iko nje,wale ****** yako nje,huyu aaaaah jamani dada zangu badilikeni hamuogopi Mungu
achane kujiona nyie ni wasafi sana mbele za Mungu wanafiki wakubwa nyie hakuna kanisa linaloruhusu kuvaa nusu uchi kanisani ukumuona mtu kama huyo ujue ni yeye binafsi siyo kwamba eti wakristo ndo uvaaji wao hapana mbona nyie wanafiki mkiwa misikitini manguo marefu lakini mkirudi mitaani ni wachafu wa mavazi tena wa kutupwa kazi kujionesha mbele za watu eti mmefunga hakika hampati thawabu kwa kujiweka mbele ya wanadamu eti mpo kwenye mwezi wa toba wanafiki wakubwa sanapatrickmadiya@ymail.com
achane kujiona nyie ni wasafi sana mbele za Mungu wanafiki wakubwa nyie hakuna kanisa linaloruhusu kuvaa nusu uchi kanisani ukumuona mtu kama huyo ujue ni yeye binafsi siyo kwamba eti wakristo ndo uvaaji wao hapana mbona nyie wanafiki mkiwa misikitini manguo marefu lakini mkirudi mitaani ni wachafu wa mavazi tena wa kutupwa kazi kujionesha mbele za watu eti mmefunga hakika hampati thawabu kwa kujiweka mbele ya wanadamu eti mpo kwenye mwezi wa toba wanafiki wakubwa sanapatrickmadiya@ymail.com