NGUVUMOJA
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,347
- 325
Eenhe! Hao ni 'wagalitia'. Na 'wakorinto' je?Akili ya mashindano...! 'Wagalatia ' wako always one step ahead kwa sababu wakati wanaanzisha kitu huwa hawajishughulishi na issue ya waislam wana nini bali huwa wanaangalia hitaji husika na jinsi ya kulitatua. Kama mnaweza ku copy and paste TV jaribuni na MoU basi...!