Allah akufanyie wepesi
Napenda kufanya biashara na ALLAH, nitachangia
Napenda kufanya biashara na ALLAH, nitachangia
Ili wahubiri fitina na unafiki?
Radio yenyewe iko hivyo, kuna wakati mpaka bakwata waliwakana
Ili mkaendeleze udini wenu wa kipuuzi? Mimi ni musilim safi ila cwez kutoa hata sent kuwachangia nyie wanafiki.
Akili ya mashindano...! 'Wagalatia ' wako always one step ahead kwa sababu wakati wanaanzisha kitu huwa hawajishughulishi na issue ya waislam wana nini bali huwa wanaangalia hitaji husika na jinsi ya kulitatua. Kama mnaweza ku copy and paste TV jaribuni na MoU basi...!Inshaalah nipo njiani. Tv hii itakuwa miongoni mwa tv bora TZ na A/mashariki. Tv za kigalatia zimekuwa hazina jipya zaidi ya kuwatukuza wamiliki take zaidi hamna jipya ktk vituo hivyo.
Nani amekwambia habari za kanisa hapa? Mimi ni Musilim lakini sintochanga hata senti. Hiyo pesa bora nikatolee ALLAH kwa kusaidia watoto yatima au wagonjwa kuliko kuwapa nyie wafujaji na waendeleza unafiki, udini, chuki n.k. Kila siku mizozo haiishi misikitini kwa sababu hela zinaliwa tu. Kama msikitini tu hela zinaliwa bila aibu je itakuaje kwenye hiyo tv yenu..
kuna wakati mpaka bakwata waliwakana
bi fatma kimario atakuwa mgeni rasmi, atakuja na sample ya mifugo yake kuipiga mnada kwa ajili ya fundraising.
Si mpite na makaratasi
kama wale wanaopitaga
kuomba michango kwenye mahoteli,mabar ili kujenga misikiti?
Kwanza hii redio
inachochea vurugu
nshawahi isikiliza!
Shame upon you!!
Si mpite na makaratasi
kama wale wanaopitaga
kuomba michango kwenye mahoteli,mabar ili kujenga misikiti?
Kwanza hii redio
inachochea vurugu
nshawahi isikiliza!
Shame upon you!!
Sio kosa lako. Tatizo ni shule ulizopitia, walimu wako wamekujaza Pumba tupu.Ukitaka kujua hata mwandishi anaitaji arudishwe shule kidogo toka lini
tv ikakuletea nuru nyumbani kwako...nijuavyo nuru inaletwa na mungu bana sasa hawa sijui wanaipitishaje hadi kwenye tv wa mbagala anaipata wa kawe anaipata wa kirua vunjo nae anaipata
mi napita tu ...mkiweka mnada ntakuja na shoewine zangu tupunguze kidogo utitiri tv ipate signal wasiwasi wangutu msianze kwa fujo mkaishia na vituko
all the best
Kwenye Mahoteli na Mabaa ndimo unamoshinda na kukesha humo eeenh?Si mpite na makaratasi
kama wale wanaopitaga
kuomba michango kwenye mahoteli,mabar ili kujenga misikiti?
Kwanza hii redio
inachochea vurugu
nshawahi isikiliza!
Shame upon you!!