Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
Kawapelekee wakirisito wenzako Sabato Masalia, nadhani watakushukuru sana.
Hata kwa wasabato usiende aende kwa wakatoliki wenzako hugo ndo hawa a kharamu
Kawapelekee wakirisito wenzako Sabato Masalia, nadhani watakushukuru sana.
Kama ujumbe haukuhusu nini kinachokuuma? Acha wenye moyo wajitolee! Kama ulidhan vifaa vya makanisa tu ndio vyenyehaki ya kufanyiwa harambee basi utakuwa na matatizo ya kifikra. Kwanini wewe kama mkristo hupendi kusikia zuri lolote linawashukia waislam?
Kama utachangia changia, Kama hutoi nyamaza Kwan lazima uongee ktk kila post
Duhu..!Hata kwa wasabato usiende aende kwa wakatoliki wenzako hugo ndo hawa a kharamu
Inshara
Nani amekwambia habari za kanisa hapa? Mimi ni Musilim lakini sintochanga hata senti. Hiyo pesa bora nikatolee ALLAH kwa kusaidia watoto yatima au wagonjwa kuliko kuwapa nyie wafujaji na waendeleza unafiki, udini, chuki n.k. Kila siku mizozo haiishi misikitini kwa sababu hela zinaliwa tu. Kama msikitini tu hela zinaliwa bila aibu je itakuaje kwenye hiyo tv yenu..
Kuna watu wanaudhi..
Dah kweli udini umekolea kisawa sawa.je tutaweza kufanya mabadiliko ya Kisiasa na kiuchumi?Kweli walioingiza hoja ya udini wametuweza ha Great Thinkers TUMENASWA MTEGONI.
Usijali mkuu.
Cha muhimu ni kwamba message sent & delivered successfully.
Sio kila jema litapokelewa kwa shangwe, ndo maana hata Newton's 3rd law of motion ina tujulisha kuwa "At every action there is an equal & opposite reaction".
Ndo maana hata manabii wote kuanzia Adam walikuwa na wapinzani wao katika Imani.
Na siku zote wenye chuki zao hawawezi kufurahia mafanikio yako na hata kama wata tabasamu basi ujue hiyo ni "plastic smile"
Hata JF tokea imeanzishwa mpaka sasa kuna watu bado wanaiombea mabaya tuu kila siku na wana ndoto za kuihujumu kadri ya uwezo wao, kisa tuu ni kuangaza nuru katika nyuso za walalahoi.
Long life JF.
Long life TV Iman.
Long life Radio Iman.
Long life wapenda maendeleo/mabadiliko wote.
Si jambo baya kuchangia yatima,ila jambo jema ni kumchukua na kumlea,
je umeshawai kuwachangia hao yatima?
Assalam alaykum
warahmatullahi wabarakatu -ewe mpenda kheir napenda
kuchukuwa fursa hii adhwim
kukuomba ujeufanye biashara
na Allah(.s.w.t) siku ya tarehe
18.12.2011 kutakuwa na
mchango wa TV IMAAN katika uwanja wa Taifa jijini Dar-es-
salaam. Ndugu katika Imani, kwa
waliopo Tanzania, Tafadhali I
copy msg hapo juu na uifanye
kuwa status yako kwa leo, na
watumie ndugu zaidi ya 10
katika imani kama sms ili Tamasha la kuchangia Radio
Iman lihudhuriwe na wadau
wengi wenye nia na haja ya
kuchangia Tv Iman
Ndugu Yako katika Imaan We hereby take this golden
chance to request you come do
business with Allah(s.w.t)on
the 18.12.2011.TV IMAAN is
giving you a platform to do
business with ALLAH by organizing a fundraising for the
TV at the National Stadium-Dar-
es-salaam Tanzania from 8am
to 4pm.come and invest in your
hereafter.Muhammad Matano
the Programs Controller Please copy some of our status
regarding the TV IMAAN
FUNDRAISING on the 18.12.2011
at the NATIONAL STADIUM in
Dar-es-Salaam and make it your
status or send it to your friends like s.m.s.this will really help in
spreading the word as we are
running out of time please
please help us in the name of
ALLAH.
Ili wahubiri fitina na unafiki?
Nasomesha wawili kutokana na uwezo wangu. Wengine huwa nawapa misaada. Wewe je?
Ili mkaendeleze udini wenu wa kipuuzi? Mimi ni musilim safi ila cwez kutoa hata sent kuwachangia nyie wanafiki.
???????/ Embu can u come again..Maana sijaelewa hata chembe
hehe! wakiitwa waislam safi watoke mbele na weye nawe utajitoa...!! MUone ile avatar yake kwanza...
InshaAllah Tv iman ipo njiani... oa
Hahahahahahaha
aisee umewaza nini?