X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,680
- 12,255
Ndugu zangu naomba tutumie ukrasa huu kujadi tunazo kutananazo kwenye mfumo wa maombi mpaka hivi leo tarehe 21/4/2022 nimefanikiwa kufungua akaunti mbili tu kwa mbinde sana nilicho kigundua ni lazima ufungue akaunti mpya hivyo...utaingiza email yako kisha itafuata utambuzi wa namba ya UTAIFA. mida ya jioni ya leo 22/4/2022 saa 11:45 jioni nilifanikiwa kuona kipengele cha kuattach file kwenye eneo la shule kimefunguliwa ambapo kuanzia jana nilikuwa siwezi kuattach vyeti.
tuendelee kupeana update hadi kieleweke hakuna kulala
hali inatisha sana ndugu yangu yani hizi ajira kwa kweli ni kama unabet ama unafanya mchezo wa bahati nasibu ukiangalia idadi ya wanao omba ni kubwa kuliko idadi ya ajira zilizotoka yani chozi linaweza kukutoka ebu tizama kiambatanishi hapo chini...shule ina uhitaji wa mwalimu mmoja, walimu walioomba ni zaidi ya 300...hapo kweli si ni sawa na mchezo wa kubahatisha huu...
kwa computer ndio rahisi....Kwa upande wa taarifa za chuo kama umekosea unaweza kubadilisha?
utabonyeza hapo kama picha inavyoonyesha...
ukishabonyeza hapo itafunguka....kama kiambata kitakavyoonyesha hapo chini...kisha utabonyeza hiyo alama iliyozungushiwa duara
utabadilisha taarifa zako kama unavyo taka kisha unasave...
au....unaingia
kwa kubonyeza kama picha inavyoonyesha
harafu unaondoa hiyo taarifa kwa kubonyeza sehemu ya ondoa...baada ya hapo unaweka taarifa zako upya
ukishindwa niambie haraka iwezekanavyo...ila usisahau kuwa hayo yote yanawezekana kwa urahisi ukitumia computer...kwenye simu sina uhakika...unaweza kunipigia simu pia 0716719130... nitakusaidia bure kabisa...