Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,433
- 3,254
ipo haja ya kufuta vingine ambavyo kuanzishwa kwake hakuna maana yoyote,sawa maana inaweza kuwepo (katiba ya chama husika) lakini madhumuni yake kupitwa na wakati.
Chadema sio chama ww , ni wanaharakati. Na kuna mpango wa kukifuta kwenye orodha ya vyama vya siasa isajiliwe kwenye wizara ya mambo ya ndani ambapo wanaharakati walio na NGOs zao ndiko wanakosajiliwa na cdm ikasajiliwe huko
duu!! inamaana kwa ukatiliki wake mara hii kashakuwa na mvuto wa kisiasa.?sio cha hemedi msangi na majambzi wenzie!? Lord Have Mercy!
Msajili wa vyama vya siasa nchini ndugu John Tendwa amekisajili kwa muda Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kikiwakilishwa na mwenyekiti wa muda ndugu WALESI MAYUNGA.
Huu ni mkakati mahsusi wa kuibomoa CDM 2015, nyuma ya chama hiki kipya kuna vigogo wengi ambao wanajua fika 2015 hawana lao CCM wala CDM. Imekaa kama CCJ vile, lengo ni kudeflect kura ili kuwa na vyama vingiiiiiiiiiii vitkavyonyang'anyana kura ili kuipunguzia nguvu CDM.
chama cha zitto kabwe, huku kigoma tunajiandaa kuhamia chama zitto, ukabila wa chadema umetuchosha.
chama cha zitto kabwe, huku kigoma tunajiandaa kuhamia chama zitto, ukabila wa chadema umetuchosha.