Chama kipya chasajiliwa Tanzania

Viache vije.Kwani kile cha Hamad Rashid kilichoiga mpaka bendera ya CDM kimefia wapi?
hata mimi nashangaa wanataka na wao siku moja washke dola! Ifike hatua tanzania wananchi waamue tuwe na vyama 2au 3 basi. lakin hivi vyama zaid ya ishirin vimesaidia nini? Ni utapeli wa kisiasa hata ibrahim chipaka analijua hilo
 
Huu ni mkakati mahsusi wa kuibomoa CDM 2015, nyuma ya chama hiki kipya kuna vigogo wengi ambao wanajua fika 2015 hawana lao CCM wala CDM. Imekaa kama CCJ vile, lengo ni kudeflect kura ili kuwa na vyama vingiiiiiiiiiii vitkavyonyang'anyana kura ili kuipunguzia nguvu CDM.
 
Chadema sio chama ww , ni wanaharakati. Na kuna mpango wa kukifuta kwenye orodha ya vyama vya siasa isajiliwe kwenye wizara ya mambo ya ndani ambapo wanaharakati walio na NGOs zao ndiko wanakosajiliwa na cdm ikasajiliwe huko
Una ulemavu wa mawazo!
 
chama cha zitto kabwe, huku kigoma tunajiandaa kuhamia chama zitto, ukabila wa chadema umetuchosha.

Hivi "unapinga" nini na una-support nini? Sijawahi kuona comment ya aina hii siku za karibuni. Saburi of the week.
 
Huo ni mkakati uluopangwa na ccm kuwachanganya watu ili kupunguza kura ktk uchaguzi ujao hasa vijijini hebu tamka maneno hayo CHAUMA na CHADEMA usikie utaona tofauti ni ndogo sana ktk matamshi jambo ambalo litawachanganya na wasiojua kusoma.
Wala usiwe na shaka Mkuu; hiki kitatoweka soon; mwisho wake utakuwa aibu. Mi naona kinge-sound vizuri na kupata umaarufu wa bure kama kikifupishwa CUMA.
 
Utitiri wa vyama ni wa nini? Hakuna tija hapa zaidi ya kuwanufaisha sisimwewe!!!!
 
Kila mtu ana uhuru wa kikatiba kushiriki siasa kwa kupitia chama chochote, kama vilivyo havimfai ruksa kuanzisha chake, though to me i take it as outright greediness of gaining political leadership.... which is just merely nonsen.se
 
Kweli Umasikini wetu ndo kifo chetu. Marekani, Uingereza na utajiri wao wote, hawatagi vyama vingi kama ilivyo Tanzania. Hivi, Msajili wa Vyama vya Siasa kazi yake ndo hiyo ya kutia saini usajili wa vyama, au kuna kazi nyingine anaifanya?. Kazi kweli kweli.
Msajili wa vyama vya siasa nchini ndugu John Tendwa amekisajili kwa muda Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kikiwakilishwa na mwenyekiti wa muda ndugu WALESI MAYUNGA.
 
Chadema sio chama ww , ni wanaharakati. Na kuna mpango wa kukifuta kwenye orodha ya vyama vya siasa isajiliwe kwenye wizara ya mambo ya ndani ambapo wanaharakati walio na NGOs zao ndiko wanakosajiliwa na cdm ikasajiliwe huko

Utindio wa ubongo ni ugonjwa mbaya sana,pole sana dogo.
 
ndio hii hoja yenye chorus ile ile kila siku au kuna nyingine?


Hawa jamaa kiukweli ni watu wa ajabu sana tena sana. Mwanzilishi ni Kafulila + Rungwe pamoja na jamaa mmoja aliyeshindwa ubunge 2010 jimbo la Kakonko kupitia NCCR na kwa sasa kafukuzwa kwenye chama hicho. Wala msichanganye mh. Zitto na hiki chama ni hao niliowataja. Kama mnavojua Kafulila hawezi kupokelewa na chama chochote hapa Tanzania na kwa vile ana mgogoro na mwenyekiti wake ameamua kuunda chama hiki ili liwe kimbilio lake.
 
Wala usiwe na shaka Mkuu; hiki kitatoweka soon; mwisho wake utakuwa aibu. Mi naona kinge-sound vizuri na kupata umaarufu wa bure kama kikifupishwa CUMA.


Nimeipenda sana hii CUMA....doooo!!!
 
TAARIFA KAMILI KUHUSU HUYO MDUDU 'CHAUMA':

Ni chama kile kile CCM ndicho kinachotafuta kitoke vipi mara baada ya Chama Gamba Orijino kuangukia pua.

Let the ever doubting Thomases their feet divide at the crossroads. Ni chama cha ule upande wa pili wa Magogoni ambao wameanza kufanya kile wanachokiita
'FACING THE TITE-ROPE 2015 GENERAL ELECTIONS: LIFE WIHOUT CCM & WITHOUT KIKWETE'.

A rather bold journey but on too shaky feet is yet to begin for the CCM remnants in the now massively clouded and crowded political wilderness in our own backyard.

Ndio, to this end, their political microscope is already visualising a more bleak and blunk future in the current outfit just as much as they tend to seek to remain prisoners of a 'too big and dirty to move to or be acceptable in other parties other than that of our own' school of thinking.


Msajili wa vyama vya siasa nchini ndugu John Tendwa amekisajili kwa muda Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kikiwakilishwa na mwenyekiti wa muda ndugu WALESI MAYUNGA.
 
Chadema sio chama ww , ni wanaharakati. Na kuna mpango wa kukifuta kwenye orodha ya vyama vya siasa isajiliwe kwenye wizara ya mambo ya ndani ambapo wanaharakati walio na NGOs zao ndiko wanakosajiliwa na cdm ikasajiliwe huko
Hii pumba hata ukimlisha kuku wa kienyeji hali wala haonji!
 
Back
Top Bottom