Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Msije mkasingizia daftari la wapiga kura lina kasoro.
sio daftari tu! Tume, Police na wewe mnakasoro! Hiyo bado ipo!
Msije mkasingizia daftari la wapiga kura lina kasoro.
hivi wewe bibi badala ukae nyumbani ulee wajukuu unakuja kushindana na vijana majukwaani.nape aliwaambia mnasubiria kufa na kingungwe wenu
sio daftari tu! Tume, Police na wewe mnakasoro! Hiyo bado ipo!
huyo mgombea mwenyewe ndo huyo mwenye cheni shingoni? maajabu haya ya kutaka kupeleka wavaa cheni shingoni tena wanaume.
mkuu hayo mambo yana ukaribu na ushoga, sasa sijui ndo unashabikia ushoga? sikuelewi kabisa. kuhusu kuuza unga hayo ni maneno ya mtaani. hayana ukweli unless uthibitishe, otherwise ni porojo tu kama porojo zingine.Wewe ni pimbiiiii kwani mtu kuvaa cheni si bora kuliko muuza sembe
wamekamatwa makada wa CCM wakilifanyia marekebisho....wht do you expect from thatMsije mkasingizia daftari la wapiga kura lina kasoro.
wamekamatwa makada wa CCM wakilifanyia marekebisho....wht do you expect from that
Gabriel angekuwa Uganda sheria ya Museveni inamhusu sana .....Eehh Safi sana makamanda kumbe kuna mgombea chadema, daa kweli hii ni hatari nilikuwa mbali na tv kwa muda mrefu, juzi nimerudi kucheki TBC 1 Taarifa ya habari ya juzi sa 2 usiku wanasema hapo chalinze vyama vilivyosimamisha wagombea ni vitatu tu, navyo ni ccm, cuf na nra(kama sijakosea) nikajiuliza chadema hawana mgombea?? kumbe hata chadema wanamgombea pia, aisee kweli TBC ni hatari sana tena taarifa hiyo aliisoma Gabriel Zakaria huyu jamaa akiwa star tv enzi hizo star tv kweli nilimkubali kumbe naye siku hizi amekuwa mbumbumbu hivi.... Inasikisitisha sana TBC kushindwa kuzungumza ukweli wakati watanzania ndio wanaichangia kwa kodi zao... LAKINI YANA MWISHO HAYA YOTE.
CHALINZE NAWATAKIA UCHAGUZI MWEMA!!!!
Masikini kampeni zinaisha Mathayo hajapanda chopa!!
Cdm ikishinda chalinze ntajiuwa hadharani