Suala hapa si kuwa kama hatopata kura hata moja; suala hapa ni kuwa mgombeaji anayesimama bila kupingwa ni idadi ngapi ya kura atahitaji ili awe amepita (assume wanaopiga kura wengi wameenda vituoni ila wamegoma kupiga kura)? Mie najua two-third majority au 50+1 rule ila kama kuna nyingine haswa kwetu Tanzania basi naomba tueleweshane tafadhali. Nawasilisha Hoja.
Hivi hako ka-msemo huwa kana maanisha nini?.Well, kwa hisani ya watu wa Marekani naona January kafanya kitu ambacho ni kigeni kwa siasa za Tanzania hususan katika ugombeaji ubunge. Angalia onyesho la awali la filamu yake kuhusu safari yake ya ushindi wa kiti cha ubunge cha Bumbuli.....:llama:
YouTube - January Makamba's Safari Ya Ushindi: Ubunge Jimbo la Bumbuli (Road to Victory)
Mkuu -Ukiangalia TV utaoona matangazo mbalimbali ya kuhamasisha mazungumzo, hasa baina ya wanandoa, ambayo huishia na kausemi hako - kwa maana ya kwamba watu wa Marekani wamefadhili hayo matangazo.Hivi hako ka-msemo huwa kana maanisha nini?.
Well, kwa hisani ya watu wa Marekani naona January kafanya kitu ambacho ni kigeni kwa siasa za Tanzania hususan katika ugombeaji ubunge. Angalia onyesho la awali la filamu yake kuhusu safari yake ya ushindi wa kiti cha ubunge cha Bumbuli.....:llama:
YouTube - January Makamba's Safari Ya Ushindi: Ubunge Jimbo la Bumbuli (Road to Victory)
Ngabu kaka, thanks for sharing this. The goal is to transform and transcending the way folks conduct their politics. The next phase is to raise the level of debate bungeni--and actually accomplishing stuff.
Hutajibiwa.Ebana Selemani,
hivi ni kweli kuwa mkwe wa Makamba (katibu mkuu) alikimbilia marekani kujifungua huko kwa vile hospitali za bongo miyeyusho?
Ndio Mwafrica, that is correct. Vidole havilingani babu.Ebana Selemani,
hivi ni kweli kuwa mkwe wa Makamba (katibu mkuu) alikimbilia marekani kujifungua huko kwa vile hospitali za bongo miyeyusho?
Ndio Mwafrica, that is correct. Vidole havilingani babu
But you know that's not a good look, right? Unless you tell me it was medically necessary but anything outside of that is definitely not a good look.
Uzalendo uko wapi?
Bwana Mwafrica wants to hear what he wants to hear. Na he pretend kwamba anajua sababu zote, sasa kaka why should I waste my time arguing with him. Whenever folks are running around like they know everything. Its best to let them be.