CHADEMA yateka kusini - Soma hotuba yao

mboye unadhani watz hawajui kuwa wewe wewe ni mchuuzi , kweli mmiliki wa danguro awe rais wa nchi watz wanajua na ulimwengu unajua. Dr slaa analipwa mil 7.5m kwa mwezi. Akiwa rais atataka kulipwa 100m kwa mwezI kwa vile amekaa nje ya bunge kwa muda. Tamaa ,ukanda na uroho wa madaraka ndio sifa ya viongozi wa chadema. Maendeleo yaliyopo kusini sasa ni matokeo ya kazi ambao mtu mwenye akili timamu hawezi kubisha.

Ama kweli akili ni nywele kila mtu ana zake.
Mkuu, hata kama huoni hata kusikia nako husikii mvumo huu wa wind of change blowing all over Tz now?
Halafu huyo Mboye ndiye nani? Na sheria za Tz zinaruhusu madanguro?
Aidha nieleweshe tafadhali, hivi Mhe. Rais hujipangia mshahara wa kujilipa?
Niishie na kukupa pole mkuu.
 
Tunataka akiwa rais wa nchi alipwe zaidi ya 7.5m,kwani TZ tuna rasilimali za kufa mtu,tatizo zinaporwa na nyinyiem na serikali yake.angalizo kwa watumishi wa serikali ni raha tupu *Peoples power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!2015*
 
ile namba ya m-pesa haifanyi kazi. Nashindwa kutuma fedha za kuchangia chama. Tafadhali naomba anayefahamu namna ya kutuma anijuze. Naomba makamanda wawezeshwe vilivyo kutekeleza mikakati yote ya kuisambaratisha ccm. Fedha sio tatizo. Tatizo letu kubwa ni ccm. Lazima ingoke. Ongezeni mishahara ya makamanda, msh wa 7.5 kwa mtu mwenye majukumu kama mbowe au slaa pamoja na wabunge hautoshi

hawa wamekosa hoja na sasa wamekua kama chama cha upinzani sasa
 
mboye unadhani watz hawajui kuwa wewe wewe ni mchuuzi , kweli mmiliki wa danguro awe rais wa nchi watz wanajua na ulimwengu unajua. Dr slaa analipwa mil 7.5m kwa mwezi. Akiwa rais atataka kulipwa 100m kwa mwezI kwa vile amekaa nje ya bunge kwa muda. Tamaa ,ukanda na uroho wa madaraka ndio sifa ya viongozi wa chadema. Maendeleo yaliyopo kusini sasa ni matokeo ya kazi ambao mtu mwenye akili timamu hawezi kubisha.

Ha ha ha,,ivi umejiunga lini vile??mmekuja kwa kasi kweli huku jamvini hapa karibuni..sidhani kama hii ni njia sahihi hata ivo..kwanini msiboreshe uchumi tu watanzania wakapata yale maisha bora mliyowaahidi?mi nadhani hiyo ingekuwa njia bora zaidi ya kudhihirisha ubora wenu..until then,we shall crucify you for good...wananchi hawataki siasa,wanataka maisha bora.period!
 
Back
Top Bottom