dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,126
- 49,384
na huku jk akiendelea kuzurula hovyo ulaya na amerika, na kuvutwa na mikokoteni
Mkuu lakini ujue ule sio mkokoteni wa kawaida. Kwa taarifa yako, lile ni gari la ki-falme na ni wachache mno wanapata bahati ya lifti humo.