Ndo mchezo wao cku hizi. wanatanguliza kuwafrahisha then wanaumiza zaidi Arusha ili kuweka balance lkn dhamira yao imetimia kwa Lema Arusha. tuwe makini na utangulizi huu wa sumbawanga.
ni majaji walikuwa akina nani? Hebu funguka bana
Kwenye kampeni za Arumeru tulisikia Mkapa alishiriki kumuua mwalimu kwenye kampeni za sumbawanga tutegemee lipi??
Kwenye kampeni za Arumeru tulisikia Mkapa alishiriki kumuua mwalimu kwenye kampeni za sumbawanga tutegemee lipi??
Ziara zingine anaalikwa jamani tena kwa gharama zao. Hivi kupanda ile toroli kumewagharimu nini WATANZANIA? Haya ya chaguzi ndogo ni ya kujitakia. Tunafanya chaguzi za hovyo halafu tunaingia gharama za kijinga za KISIASA!
Kwenye maamuzi haya Mahakama INAAMINIKA au bado inatumiwa na MAGAMBA??
nilipo ona thread hii na nikikumbuka kilicho tokea Arusha nikasikitika sana lakini kwa kuwa mbunge wangu kila siku huni kumbusha kuwa hakuna dhambi mbaya kama uoga acha niipe nafasi dhambi hii kwa kuwa hata tukirudi kwenye game ninaimani tutawagalagaza mabwepande..
Kwani Hawa Ng'umbi, Mpesya, Siame na wale wana CCM walipokata rufaa kupinga matokeo kodi zetu zilikuwa hazitumika vibaya? Unataka kusingizia chaguzi ndogo kwamba zinamaliza hela wakati hujatuambia thithimwewe walitumia shilingi ngapi kwenye chaguzi zao?AH! Kodi zetu ziendelee kuteketea tu huku wanetu wakiendelea kukaa sakafuni!
Swali zuri sana ndo utajua unafiki wa pro Cdm
Molemo thibitisha haya
Kama ni kweli basi kuna maeneo mengine humu nchini ni mbali na Tanzania!!!
Chama cha CHADEMA kimeshinda rufaa iliyokatwa na aliyekua mbunge wa SUMBAWANGA MJINI BW. AESH HILALY BAADA YA RUFAA HYO KUTUPWA NA MAHAKA LEO.