Magombelema
Member
- Oct 11, 2011
- 15
- 4
Arusha ni benghazi ya tanzania ya kuiondoa ccm madarakani.
Ni kweli uliyosema lakini si kweli yote,we need changes.Nilikuwa najipitia tu,nikakuona,nimesema nikusalimie.siasa za fujo ni siasa zilizopitwa na wakati nawashauri waangalie vyama vilivyokuwa vinafanya siasa za namna hiyo matokeo yake vyama hivyo vimebadili mbinu, Cuf walikuwa mabingwa wa siasa za vurugu na maandamano yasiyo koma lakini wapo wapi leo? wameamua kubadili mbinu, ilikuwa ni vurugu tupu DAR ilikuwa haipiti mwezi maandamano mwishowe wanainchi walikuwa hawafanyi shughuli zao na mwishowe mwanainchi waliwachukia, ndivyo itakavyokuwa kwa wakazi wa Arusha leo wameanza kukichukia chama hiki na wanajuta kukipigia kura chama hicho.
Hivi lini vijana mtaacha ushabiki wa siasa za vyama hivi ambavyo haviwapi maslahi yeyote?
CCM wamekula nchi wamevimbewa, CHADEMA siyo wakombozi wa kweli wa taifa hili pindi watakapopata watakua ni zamu yao kula nchi.
.Demokrasia katika nchi maskini yenye ujinga ni mchezo wa wajanja wachache wenye upeo huu au ule, walio nje wanapigana kuwatoa walio ndani ili wapate nafasi ya kumiliki nguvu za dola na faida zake kuzibinafsisha huku nyie mkitumiwa tu.
baada ya kupata madaraka vijana hutemwa na ukamanda huu upambanaji utupya nje kwa sababu hauna tija tena ukiwa mtawala, harakati ni pale ukiwa nje ya utawala kwa sababu ya kuona mabaya mengi na kutokuwepo kwako kwenye serikali.
Mimi ni mwanaharakati siyo shabiki wa kisiasa wa chama chochote, kuna mazuri na mabaya katika vyama vyote, na ubaya wa CCM ni obvious kwa sababu wametawala nchi na wameonekana walichofanya/walichoshindwa kufanya tatizo linakuja kwa vijana kujipa matumaini ya hali juu sana juu ya uwezo wa CHADEMA kuleta mabadiliko ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa hapa nina matatizo napo kwani hili halipo0angalieni nchi karibu zote za kiafrica wapinzani wamefanya nini baada ya kushinda na sisi siyo tofauti na hao)
kuweni na matumaini ya kawaida ya kupunguza hizi kero za CCM na siyo kushabikia kitu mpaka mnakua paranoid mkisia tu mtu anaisema CHADEMA.
Magwanda wanatafuta huruma za wana Arusha kabla ya uchaguzi wa madiwani, wajue hapo "wankula huu".
siasa za fujo ni siasa zilizopitwa na wakati nawashauri waangalie vyama vilivyokuwa vinafanya siasa za namna hiyo matokeo yake vyama hivyo vimebadili mbinu, Cuf walikuwa mabingwa wa siasa za vurugu na maandamano yasiyo koma lakini wapo wapi leo? wameamua kubadili mbinu, ilikuwa ni vurugu tupu DAR ilikuwa haipiti mwezi maandamano mwishowe wanainchi walikuwa hawafanyi shughuli zao na mwishowe mwanainchi waliwachukia, ndivyo itakavyokuwa kwa wakazi wa Arusha leo wameanza kukichukia chama hiki na wanajuta kukipigia kura chama hicho.
Usitusemee sisi tunajua wa kumpa kura bwana green guard.Magwanda wanatafuta huruma za wana Arusha kabla ya uchaguzi wa madiwani, wajue hapo "wankula huu".
Katafute kazi ujenge CV yako ikakusidia badaye magamba yatakapkuwa yameondoka madarakani...acha kutumwa na Nape kuandika upumbavu.Amini usiamini sikio la kufa halisikii dawa, chadema ya umbuka katika kutaka kushawishi uma ukae kwenye Mvua wiki moja. Wana Arusha wana Mapinduzi wasema no no no wakubali kutii amri halali ya serikali na kukubali kwenda kuendelea na ujenzi wa Taifa.
Sheria kufuata mkondo hivi punde kwa kuwakamata wahusika na kuwapeleka kunako husika kwa kuchochea uvunjifu wa amani na huko kutakuwa na kusaga meno
Hivi lini vijana mtaacha ushabiki wa siasa za vyama hivi ambavyo haviwapi maslahi yeyote?
CCM wamekula nchi wamevimbewa, CHADEMA siyo wakombozi wa kweli wa taifa hili pindi watakapopata watakua ni zamu yao kula nchi.
.Demokrasia katika nchi maskini yenye ujinga ni mchezo wa wajanja wachache wenye upeo huu au ule, walio nje wanapigana kuwatoa walio ndani ili wapate nafasi ya kumiliki nguvu za dola na faida zake kuzibinafsisha huku nyie mkitumiwa tu.
baada ya kupata madaraka vijana hutemwa na ukamanda huu upambanaji utupya nje kwa sababu hauna tija tena ukiwa mtawala, harakati ni pale ukiwa nje ya utawala kwa sababu ya kuona mabaya mengi na kutokuwepo kwako kwenye serikali.
Mimi ni mwanaharakati siyo shabiki wa kisiasa wa chama chochote, kuna mazuri na mabaya katika vyama vyote, na ubaya wa CCM ni obvious kwa sababu wametawala nchi na wameonekana walichofanya/walichoshindwa kufanya tatizo linakuja kwa vijana kujipa matumaini ya hali juu sana juu ya uwezo wa CHADEMA kuleta mabadiliko ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa hapa nina matatizo napo kwani hili halipo0angalieni nchi karibu zote za kiafrica wapinzani wamefanya nini baada ya kushinda na sisi siyo tofauti na hao)
kuweni na matumaini ya kawaida ya kupunguza hizi kero za CCM na siyo kushabikia kitu mpaka mnakua paranoid mkisia tu mtu anaisema CHADEMA.
siasa za fujo ni siasa zilizopitwa na wakati nawashauri waangalie vyama vilivyokuwa vinafanya siasa za namna hiyo matokeo yake vyama hivyo vimebadili mbinu, Cuf walikuwa mabingwa wa siasa za vurugu na maandamano yasiyo koma lakini wapo wapi leo? wameamua kubadili mbinu, ilikuwa ni vurugu tupu DAR ilikuwa haipiti mwezi maandamano mwishowe wanainchi walikuwa hawafanyi shughuli zao na mwishowe mwanainchi waliwachukia, ndivyo itakavyokuwa kwa wakazi wa Arusha leo wameanza kukichukia chama hiki na wanajuta kukipigia kura chama hicho.
Magwanda wanatafuta huruma za wana Arusha kabla ya uchaguzi wa madiwani, wajue hapo "wankula huu".
Whaaaaat?! i don' understand at all....tell me something chuck: ina maana jamaa walikuwa pale viwanja vya NMC?! so wht happened buddy? kwahiyo baada ya mamwera kutimba pale site, magwanda wakala kona?! come' on; am very disappointed!!!! THis means tht, NMC is not and will never be de same as Tahri Square simply becasue, i gues; machalii wa A-Town hawapo nondo kivile, sema mbwembwe tu za mabrazamen wa JF wanaotaka kutushawishi kwamba machalii wa A-Town wapo nondo c kidogo!!!! dah, am very disappointed.....wanashindwa na askari wa serikali legelege!!!! PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS, PWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!
PEOPLEEEEEEES, PWAAA PWAA PWAA PWAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!
''Hongera raifi yangu kuwa na mtazamo huo, kuwa na fikra huru bila kufuata mkumbo, ungana nami katika harakati zangu''Hivi lini vijana mtaacha ushabiki wa siasa za vyama hivi ambavyo haviwapi maslahi yeyote?
CCM wamekula nchi wamevimbewa, CHADEMA siyo wakombozi wa kweli wa taifa hili pindi watakapopata watakua ni zamu yao kula nchi.
.Demokrasia katika nchi maskini yenye ujinga ni mchezo wa wajanja wachache wenye upeo huu au ule, walio nje wanapigana kuwatoa walio ndani ili wapate nafasi ya kumiliki nguvu za dola na faida zake kuzibinafsisha huku nyie mkitumiwa tu.
baada ya kupata madaraka vijana hutemwa na ukamanda huu upambanaji utupya nje kwa sababu hauna tija tena ukiwa mtawala, harakati ni pale ukiwa nje ya utawala kwa sababu ya kuona mabaya mengi na kutokuwepo kwako kwenye serikali.
Mimi ni mwanaharakati siyo shabiki wa kisiasa wa chama chochote, kuna mazuri na mabaya katika vyama vyote, na ubaya wa CCM ni obvious kwa sababu wametawala nchi na wameonekana walichofanya/walichoshindwa kufanya tatizo linakuja kwa vijana kujipa matumaini ya hali juu sana juu ya uwezo wa CHADEMA kuleta mabadiliko ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa hapa nina matatizo napo kwani hili halipo0angalieni nchi karibu zote za kiafrica wapinzani wamefanya nini baada ya kushinda na sisi siyo tofauti na hao)
kuweni na matumaini ya kawaida ya kupunguza hizi kero za CCM na siyo kushabikia kitu mpaka mnakua paranoid mkisia tu mtu anaisema CHADEMA.
Faiza, how much are you paid for this work, sijawahi ona hata siku moja ukichangia chochote chenye mwelekeo ni CHADEMA agains CCM, wewe kati ya virusi humu ndani and we want you out of this system, mnatuharibia. JF imebaki kuwa kituko siku hizi badala ya kujadili mambo ya maana
Mkuu wangu, nguvu ya umma na Wabunge 23 ndio wanataka kuchukuwa nchi