Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
CHADEMA si Watanzania wamesha wastukia, watu wa fujo.
Soon na hapa JF watachokwa..
CHADEMA si Watanzania wamesha wastukia, watu wa fujo.
Hatimaye anguko rasimi la Chadema katika Jiji la Arusha limetimilika leo baada ya kushindwa kuunganisha umma katika Propaganda za kishamba na kienyeji za kufanya mikesha za ukombozi. Hali ilivyo sasa katika jiji hili la kitalii mi shwari kabisa na Mikesha iliyotangazwa na wana CDM itafanyika katika kituo cha polisi wanachoshikiliwa Slaa na Lisu wakati Mbowe atakuwa akifanya mkesha wake jimboni kwake alipokimbilia kujificha kwa kuogopa kukamatwa na wanausalama.Ndoto za Viongozi wa Chadema kuungwa mkono na umma zimeyeyuka kabisa katika jiji la arusha kwani viongozi hao bado wanasota lupanga na hakuna hata umma unaoandamana kuwaunga Mkono. No more chadema at A.Town. na Je Slaa na Lisu watamuunga Mkono Lema ama wataomba wapatiwe dhamana by Chadema mmeanguka kwa kujiatakia kwa kuponzwa na fikra finyu na mgando za kuamini katika nguvu ya umma katika taifa la wananchi waoga kwa mbinu hiyo jaribuni tena baada ya miaka 100 ya uhuru.
Masaburi
chadema si watanzania wamesha wastukia, watu wa fujo.
Ahsante mkuu. Nalog off kwaajili yako...Sweeylady, achana naye huyo!
Exchange rate Tzs.1890/$. Huo ndo mwisho wa CDM???
Umeanza kuwashwa kabla mkataba haujasainiwa?Kweli aisee..akili za magwanda zero kabisa!
Hao waliolala NMC ni wametoka mwezini sio Wa Tanzania!!!!!!!!!!!!!!!CHADEMA si Watanzania wamesha wastukia, watu wa fujo.
Soon na hapa JF watachokwa..
Tehe, tehe, tehe.Soon na hapa JF watachokwa..
sijuuti, najivunia kuwa mwanademokrasia, najifunza ujasiri, uzalendo na kuwafikiria wengine.! VIVA CHADEMA, TUTASHINDA.!siasa za fujo ni siasa zilizopitwa na wakati nawashauri waangalie vyama vilivyokuwa vinafanya siasa za namna hiyo matokeo yake vyama hivyo vimebadili mbinu, Cuf walikuwa mabingwa wa siasa za vurugu na maandamano yasiyo koma lakini wapo wapi leo? wameamua kubadili mbinu, ilikuwa ni vurugu tupu DAR ilikuwa haipiti mwezi maandamano mwishowe wanainchi walikuwa hawafanyi shughuli zao na mwishowe mwanainchi waliwachukia, ndivyo itakavyokuwa kwa wakazi wa Arusha leo wameanza kukichukia chama hiki na wanajuta kukipigia kura chama hicho.
Wakati mwingine maamuzi ya busara ni muhim na sio people power tu! Watanzania wataanza kupunguza iman kama wataendelea kutumia nguvu ya uma kwan wa tz wengi hawapendi vurugu..
Pumba tupu!Wananchi wa Arusha hawajui nini maana ya nguvu ya umma, wanapelekwa pelekwa.
Haya ni mawazo ya watu wa pwani.CHADEMA si Watanzania wamesha wastukia, watu wa fujo.
Wacha woga ukombozi hauji kwa amani lazima labsha zitokee upate ukombozi!!!!!!!!!!