Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
hivi wewe una matatzo gani.?shida zote tunazopata waTZ hauzioni mpaka leo unaendlea kuisapot CCM..kama wewe n mtoto wa kiume badlika mwanangu....sio ishu..
usisumbuke mkuu hawa ni vibaraka tu.
hivi wewe una matatzo gani.?shida zote tunazopata waTZ hauzioni mpaka leo unaendlea kuisapot CCM..kama wewe n mtoto wa kiume badlika mwanangu....sio ishu..
Umeanza kuwashwa kabla mkataba haujasainiwa?
Kila mtu kashawachoka magwanda, mliobaki ni nyie pungu1 msio na mbele wala nyuma.Tehe, tehe, tehe.
Labda uanzishe forum yako ndio itatuchoka! Sawa kilaza rejao?
Kwetu kuna msemo kwamba unapomuombea kifo mama wa kambo badala yake, ufa mama yako.Ni dhahiri kwamba yanayoendelea Arusha yatakuwa na madhara kwa cdm aidha chanya ama hasi. Je kitendo cha viongozi wa Chadema kuwashawishi wananchi kinyume cha utaratibu na kusababisha adha na usumbufu katika maisha ya watu haiwezi kuwa ndio mwanzo wa kupotea kwenye siasa kama ilivyowahi kutokea kwa vyama kama nccr na cuf?
Ni dhahiri kwamba yanayoendelea Arusha yatakuwa na madhara kwa cdm aidha chanya ama hasi. Je kitendo cha viongozi wa Chadema kuwashawishi wananchi kinyume cha utaratibu na kusababisha adha na usumbufu katika maisha ya watu haiwezi kuwa ndio mwanzo wa kupotea kwenye siasa kama ilivyowahi kutokea kwa vyama kama nccr na cuf?
nilimsikia mhe mbowe akiongea asubuhi bbc kwa mbwembwe kuwa wanaweka historia kwa kuweka mkesha wa kwanza wa ukombozi.
What the nonsense!
Wamewatesa watu pale na mvua, baridi, njaa nk. Asubuhi alfajiri....kifungua kinywa kikawa ni mabomu ya machozi.
Wana arusha, machalii, mtatumika kijinga mpaka lini???
Umeanza kuwashwa kabla mkataba haujasainiwa?
Najua mnasali sana haya mapinduzi yasitokee...lkn saa yenu ya hukumu inakaribia!!CHADEMA si Watanzania wamesha wastukia, watu wa fujo.
Dora ndio nn ww mwenzetu uliyetembea na usiye mjinga?tembea uone hii ndio shida ya kukaa sehemu moja, dora inapanda kwa kila nchi nenda zambia iko juu nenda botswana imepanda nenda south africa imepanda, wacha ujinga wako
Acha woga wa kijinga. Ni dhahiri tungekuwa na watu wa aina yenu hata uhuru tungekuwa bado hatujapata.Nilimsikia Mhe Mbowe akiongea asubuhi BBC kwa mbwembwe kuwa wanaweka historia kwa kuweka mkesha wa kwanza wa ukombozi.
What the nonsense!
Wamewatesa watu pale na mvua, baridi, njaa nk. Asubuhi alfajiri....kifungua kinywa kikawa ni mabomu ya machozi.
Wana Arusha, machalii, mtatumika kijinga mpaka lini???
jiulize pia taifa litaacha lini kutumikia mafisadi? Maana ndo chanzo cha yote, umaarufu wa cdm umejengwa kwny makosa ya ccm!Nilimsikia Mhe Mbowe akiongea asubuhi BBC kwa mbwembwe kuwa wanaweka historia kwa kuweka mkesha wa kwanza wa ukombozi.
What the nonsense!
Wamewatesa watu pale na mvua, baridi, njaa nk. Asubuhi alfajiri....kifungua kinywa kikawa ni mabomu ya machozi.
Wana Arusha, machalii, mtatumika kijinga mpaka lini???
siasa za fujo ni siasa zilizopitwa na wakati nawashauri waangalie vyama vilivyokuwa vinafanya siasa za namna hiyo matokeo yake vyama hivyo vimebadili mbinu, Cuf walikuwa mabingwa wa siasa za vurugu na maandamano yasiyo koma lakini wapo wapi leo? wameamua kubadili mbinu, ilikuwa ni vurugu tupu DAR ilikuwa haipiti mwezi maandamano mwishowe wanainchi walikuwa hawafanyi shughuli zao na mwishowe mwanainchi waliwachukia, ndivyo itakavyokuwa kwa wakazi wa Arusha leo wameanza kukichukia chama hiki na wanajuta kukipigia kura chama hicho.
Magwanda wanatafuta huruma za wana Arusha kabla ya uchaguzi wa madiwani, wajue hapo "wankula huu".
Faiza, how much are you paid for this work, sijawahi ona hata siku moja ukichangia chochote chenye mwelekeo ni CHADEMA agains CCM, wewe kati ya virusi humu ndani and we want you out of this system, mnatuharibia. JF imebaki kuwa kituko siku hizi badala ya kujadili mambo ya maanaMagwanda wanatafuta huruma za wana Arusha kabla ya uchaguzi wa madiwani, wajue hapo "wankula huu".
Ina maana we kiziwi na kipofu, husikii na wala huoni (hata picha)....kama wanaArusha walisema 'no no no' kukaa kwenye viwanja vya NMC na mvua ile, mlienda kuwatimua wa nini na kina nani alfajiri yote ile?!
Ni dhahiri kwamba yanayoendelea Arusha yatakuwa na madhara kwa cdm aidha chanya ama hasi. Je kitendo cha viongozi wa Chadema kuwashawishi wananchi kinyume cha utaratibu na kusababisha adha na usumbufu katika maisha ya watu haiwezi kuwa ndio mwanzo wa kupotea kwenye siasa kama ilivyowahi kutokea kwa vyama kama nccr na cuf?