CHADEMA yapata pigo jingine baada ya Slaa kushindwa kushawishi umma wa Arusha kukaa kwa wiki

Mtu anatetoka mahakamani kwa kutembea halafu akakamatwa kuwa ameandamana. nani mwenye vurugu?
 
chama cha msimu kiligharamia kura kwa shilingi 17000 igunga wakati cmm iligharimia zaidi ya 375000 kwa kura?
 
Ni dhahiri kwamba yanayoendelea Arusha yatakuwa na madhara kwa cdm aidha chanya ama hasi. Je kitendo cha viongozi wa Chadema kuwashawishi wananchi kinyume cha utaratibu na kusababisha adha na usumbufu katika maisha ya watu haiwezi kuwa ndio mwanzo wa kupotea kwenye siasa kama ilivyowahi kutokea kwa vyama kama nccr na cuf?

hivi tanzania upinzani ni CDM pekee?? Haijawahi kutokea chama cha siasa kinachoihenyesha sisiemu kama chadema, PEOPLES POWER, ALUTA CONTINUA.!
 
Loser Slaa ngoja apelekwe selo, hapo ataweza kutenganisha sheria na siasa.
 
Hatimaye anguko rasimi la Chadema katika Jiji la Arusha limetimilika leo baada ya kushindwa kuunganisha umma katika Propaganda za kishamba na kienyeji za kufanya mikesha za ukombozi. Hali ilivyo sasa katika jiji hili la kitalii mi shwari kabisa na Mikesha iliyotangazwa na wana CDM itafanyika katika kituo cha polisi wanachoshikiliwa Slaa na Lisu wakati Mbowe atakuwa akifanya mkesha wake jimboni kwake alipokimbilia kujificha kwa kuogopa kukamatwa na wanausalama.Ndoto za Viongozi wa Chadema kuungwa mkono na umma zimeyeyuka kabisa katika jiji la arusha kwani viongozi hao bado wanasota lupanga na hakuna hata umma unaoandamana kuwaunga Mkono. No more chadema at A.Town. na Je Slaa na Lisu watamuunga Mkono Lema ama wataomba wapatiwe dhamana by Chadema mmeanguka kwa kujiatakia kwa kuponzwa na fikra finyu na mgando za kuamini katika nguvu ya umma katika taifa la wananchi waoga kwa mbinu hiyo jaribuni tena baada ya miaka 100 ya uhuru.

user-online.png
shy town boy



Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 7th November 2011
Posts : 12
Rep Power : 0
 
mbuyu ulianza kama mchicha ! hatujakufunga mdomo ongea lakini kumbumka tangu 2005 wanasema CDM ni chama cha msimu! mbona haufiki? acha kujidangaya CDM hatukufa itaendelea kuwepo wamewekeze kwenye vijana wenye elimu zao
 
Wakati mwingine maamuzi ya busara ni muhim na sio people power tu! Watanzania wataanza kupunguza iman kama wataendelea kutumia nguvu ya uma kwan wa tz wengi hawapendi vurugu..
Kwekwekweeee! Watz wengi hawapendi vurugu...!.bla, bla, bla...siku zote police wa ccm ndio mabingwa wa kuanzisha vurugu! Kwani wale waliokusanyika pale NMC jana walikuwa wanafanya vurugu???
 
Ni dhahiri kwamba yanayoendelea Arusha yatakuwa na madhara kwa cdm aidha chanya ama hasi. Je kitendo cha viongozi wa Chadema kuwashawishi wananchi kinyume cha utaratibu na kusababisha adha na usumbufu katika maisha ya watu haiwezi kuwa ndio mwanzo wa kupotea kwenye siasa kama ilivyowahi kutokea kwa vyama kama nccr na cuf?
Ground Zero kweli mgonjwa unahitaji tiba, Arusha hata iweje CCM hawana chao elewa hivyo!!!!!!!!
 
siasa za fujo ni siasa zilizopitwa na wakati nawashauri waangalie vyama vilivyokuwa vinafanya siasa za namna hiyo matokeo yake vyama hivyo vimebadili mbinu, Cuf walikuwa mabingwa wa siasa za vurugu na maandamano yasiyo koma lakini wapo wapi leo? wameamua kubadili mbinu, ilikuwa ni vurugu tupu DAR ilikuwa haipiti mwezi maandamano mwishowe wanainchi walikuwa hawafanyi shughuli zao na mwishowe mwanainchi waliwachukia, ndivyo itakavyokuwa kwa wakazi wa Arusha leo wameanza kukichukia chama hiki na wanajuta kukipigia kura chama hicho.
 
Wananchi wa Arusha hawajui nini maana ya nguvu ya umma, wanapelekwa pelekwa.
 
umetoka kucamerooniwa ukonyosha kupost thread na kuanza kuchangia wewe mwenyewe.

Haki haiombwi unasikia wewe nge ke nge? Haki inatafutwa na ccm yenu ndo inakufa c chadema. Wale watu pale walienda kwa mapenzi yao wenyewe na ni wanamapinduzi, wewe uko kwenye ac unazani ni wote wanafaidi rasilimali za nchi hii,

usishabikie unge. Mse. Nge. Wa ccm.
 
Wakati mwingine maamuzi ya busara ni muhim na sio people power tu! Watanzania wataanza kupunguza iman kama wataendelea kutumia nguvu ya uma kwan wa tz wengi hawapendi vurugu..
Wacha woga ukombozi hauji kwa amani lazima labsha zitokee upate ukombozi!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom