CHADEMA yameguka vipande viwili

Huu ndo mwezi wenu wa mwisho kurusharusha miguu,baada ya 25/10 tunawamalizia,ukawa ni jiwe lisiloyumba
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.

Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.

Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono Dr Slaa kwa asilimia 100%.

Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.

Kama vipi mchukueni Dr Slaa kwenye kampeni zenu chama cha mashetani wa lumumba.
 
Hata hivyo chadema asilia tulishatoa tamko letu baada ya kuona sintofahamu aliyotendewa kamanda wetu Dr Slaa na wengine wagombea ambao walishinda kwenye kura za maoni lakini wakakatwa wakaingizwa mamluki kutoka ccm. Angalia majimboni hali ilivyo ukawa kwa ukawa wanapambana zaidi ya majimbo 50. ?

Hii sio haki kabisa, ina maana CCM imesimamisha wagombea nafasi ya urais wawili? Yaani upande wa chama tawala na upinzani?
 
hata kama likigawanyika mara7, bado kura ni kwa LOwasa...na wabunge wa ukawa..

hizo nyingine ni propaganda za LUMUMBA... au masaki IT team!!

Wewe sio mzima kabisa yaani bado tu unaamini Lowasa anaingia Ikulu?
 
Hamchoki tu ! jamani mbona naona propaganda zenu zinazidi kuimarisha upinzani ! haya endeleeni yetu masikio na macho.
 
Yani huyu ubora na mafundisho pamoja na mleta uzi huu ni miongoni mwa wale mambumbumbu waliotajwa na twaweza kuwa ndo wanaishabikia ccm tunapo bishana nao hatujitendei haki tunyamaze maana hii ni misukule ya lumumba

kweli umenena ebu muulize vipaumbele vya fisiemu kama anajuwa washabiki lakini vichwa ni zero hawana hata point za utetezi. tuwaache hadi 25 oct watajitambua
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.

Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.

Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono Dr Slaa kwa asilimia 100%.

Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.

Mnavyotumia mda,nguvu na pesa kukabiliana na cdm ....mngekuwa mnatunia japo nusu ya hizo nguvu kupambana na umasikini wananchi wangekuwa wanawaona wa maana kweli.......
 
yan ccm inashinda vizuri tu..tatizo la vijana tunaathiriwa sana na ushabiki bila kuangalia na kutasmin mambo kiundan..tusiwe bendera vijana tanzania n nchi inayo endelea n maendeleo yapo..vijana tunadanganywa eti tutapewa ajira bila kujiongeza mwenyew utaendelea kulia kila siku..kama tunataka kweli mabadiliko inabidi tubadilike ss tuache uvivu wa kufanya kaz..magufuli anasema ukwel..Tumchague..
 
yan ccm inashinda vizuri tu..tatizo la vijana tunaathiriwa sana na ushabiki bila kuangalia na kutasmin mambo kiundan..tusiwe bendera vijana tanzania n nchi inayo endelea n maendeleo yapo..vijana tunadanganywa eti tutapewa ajira bila kujiongeza mwenyew utaendelea kulia kila siku..kama tunataka kweli Manado limp inabidi tubadilike ss tuache uvivu wa kufanya kaz..magufuli anasema ukwel..Tumchague..

Chadema wanatapatapa upepo umebadilika now watu wengi wanamuelewa sana magufuri kuliko lowassa
 
Willy kweli wewe nadhani unakura milioni 8 peke yako, lakini kama unayo kura moja tu!! Futa usemi wako. Kwa nguvu za Mungu asiependa watanzania wengi tuishi kama hayawani Lowasa atashinda, bali mapenzi ya Mungu yatimizwe.
 
Back
Top Bottom