Waliosema chadema itakufa kabla mwaka huu haujaisha naanza kuwaamini sasa. Sipati picha mara baada ya uchaguzi chadema itakuwaje. Kwa sababu its obvious hatutashinda. Hilo tusahau. Tumeshagawa kura vibaya.
Chadema asilia na chadema pesa
Wafuasi wa Mbowe na Dr Slaa
Waliokatwa kura za maoni majimboni vs waliochomekwa
Majimbo zaidi ya 50 yenye mtafaruku wa aidha chadema na cuf na nccr. Hapa nani ni nani?
Chadema asilia na chadema pesa
Wafuasi wa Mbowe na Dr Slaa
Waliokatwa kura za maoni majimboni vs waliochomekwa
Majimbo zaidi ya 50 yenye mtafaruku wa aidha chadema na cuf na nccr. Hapa nani ni nani?