CHADEMA yaiiga ODM kuhusu Sera ya Majimbo

Mkuu hapa naona tunapotoshana tu kwa sababu nimeshasema vizuri tatizo kubwa la Majimbo halihusiani na kugawana mavuno.. Hata kama unazungumzia mikataba huyo Karamagi atakuwepo huko kwenye mikataba ya Buzwagi kama jimbo la sijui wapikama atajiandikisha mkazi wa pale ama kuna mtu mwenye tamaa sawa na huyu jamaa. Kikubwa ni sheria. kwanza tuondoe UFISADI ambao tayari ni gonjwa linaloonekana.
Kisha baada ya hapo tunaweza kuona serikali hii chini ya Utawala uliopo kuna maosa gani bado pengine ni bora zaidi kutokuwa na operation hii ya kichwa, kwani swala la Zanzibar kama sovereign hujalizungumzia kabisa!
 
Nafikiri kama sera hii ina udhaifu basi ni udhaifu ambao tunaweza kuufanyia marekebisho!
 
Mkuu hapa naona tunapotoshana tu kwa sababu nimeshasema vizuri tatizo kubwa la Majimbo halihusiani na kugawana mavuno.. Hata kama unazungumzia mikataba huyoi Karam,agi atakuwepo hukop kwenye mikataba ya Buzwagi kama jimbo kama atajiandikisha mkazi wa pale ama kuna mtu mwenye tamaa sawa na huyu jamaa. Kikubwa ni sheria. kwanza tuondoe UFISADI ambao tayari ni gonjwa linaloonekana.
Kisha baada ya hapo tunaweza kuona serikali hii chini ya Utawala uliopo kuna maosa gani bado pengine ni bora zaidi kutokuwa na operation hii ya kichwa.

Hivi Mkandara wewe hausikitishwi kwenda huko Mererani na kuona kuwa mara baada ya miaka kumi ni mashimo tu yatabaki na wananchi hawana hata huduma muhimu za jamii?
Maeneo yote yanakochimbwa madini ama yenye rasilimali hayajawahi kunufaika nazo zaidi ya kuishia matumboni mwa wachache wenye kuhodhi madaraka yaliyopindukia!
 
Wanaoiba mali zetu za Marerani ni sisi wenyewe wananchi na viongozi wetu kwa sababu ya UHUJUMU UCHUMI.. mbona hutaki kunielewa mkubwa?
Haiwezi kumwondoa mtu tamaa ya kuiba kwa sababu yeye ni mchagga ama Mu Arusha mwizi ni mwizi tu hata nyumbani kwao ataiba. Ondoa kwanza nafasi ya kuiba..
 
Bado sikuelewi kabisa kwani sasa hivi hatuna Undugu?
Huo "undugu" unaozungumzia nadhani ni purely relative concept inayotokana na haswa propaganda za TANU ikafuatiwa na CCM (ambapo, kama ukikumbuka enzi hizo, ilikuwa kawaida na policy kwenye matangazo ya vifo kwenye RTD kusema "Ndugu fulani" anasikitika au "tunasikitika" kutangaza kifo cha shangazi yake ....). Jee, kweli ukiwa kama msikilizaji redio enzi hizo, "ungesikitika" kufahamu kifo cha "ndugu" huyo ambaye ni binadamu uliyemsikia mara ya kwanza redioni wakati huo - achilia mbali kumfahamu au kumjua vyema kama mzazi au mdogo wako?
 
Wanaoiba mali zetu za Marerani ni sisi wenyewe wananchi na viongozi wetu kwa sababu ya UHUJUMU UCHUMI.. mbona hutaki kunielewa mkubwa?
Haiwezi kumwondoa mtu tamaa ya kuiba kwa sababu yeye ni mchagga ama Mu Arusha mwizi ni mwizi tu hata nyumbani kwao ataiba. Ondoa kwanza nafasi ya kuiba..
Wewe ndio hutaki kunielewa kwasababu unaipigia kifua system iliyo facilitate huo uhujumu uchumi?
We unafiri kwa nini watu wachache wanauwezo wa kukaa mahali na kuhujumu uchumi wa Taifa kiulaini hivyo?
Madaraka kubwa kama ya mkoloni mbaya!
 
BP Biscuit Mane,
Mkuu hata sikupati kabisa maanake maswala ya UNDUGU yana tafsiri kubwa zaidi ya unachojaribu kueleza hapa.
 
jmushi1,
Nakuelewa vizuri unachosema wewe ni kuwawezesha wengine pia wapate kujumuika Kuhujumu uchumi huu...kama vile leo wanakula IKULU peke yao inabidi nasi tule hizo mbegu.. huu sio mfumo mzuri wa uchumi hata kidogo, unashindwa kuangalia tatizo bali unatafuta solution out of the blue...
 
Mkuu hapa naona tunapotoshana tu kwa sababu nimeshasema vizuri tatizo kubwa la Majimbo halihusiani na kugawana mavuno.. Hata kama unazungumzia mikataba huyo Karamagi atakuwepo huko kwenye mikataba ya Buzwagi kama jimbo la sijui wapikama atajiandikisha mkazi wa pale ama kuna mtu mwenye tamaa sawa na huyu jamaa. Kikubwa ni sheria. kwanza tuondoe UFISADI ambao tayari ni gonjwa linaloonekana.
Kisha baada ya hapo tunaweza kuona serikali hii chini ya Utawala uliopo kuna maosa gani bado pengine ni bora zaidi kutokuwa na operation hii ya kichwa, kwani swala la Zanzibar kama sovereign hujalizungumzia kabisa!

Kwani huyo Karamagi alipokea amri ya mkuu ama aliwashirikisha wananchi kwenye huo uoza?
Hawa wanaosign hiyo mikataba si wameteuliwa tu kwenye hizo shughuli?
Wapi sauti ya uwakilishi wa wananchi kwenye issue?
Tunajua Bunge liko..Lakini halina nguvu!
Kwani hukuona lilishindwa hata kuunda kamati ya madini hadi eti someone ndio aamue?
Where is POWER TO THE PEOPLE?
 
jmushi1,
Nakuelewa vizuri unachosema wewe ni kuwawezesha wengine pia wapate kujumuika Kuhujumu uchumi huu...kama vile leo wanakula IKULU peke yao inabidi nasi tule hizo mbegu.. huu sio mfumo mzuri wa uchumi hata kidogo, unashindwa kuangalia tatizo bali unatafuta solution out of the blue...

NO under this system haukuna mwenye madaraka zaidi ya mwananchi!
 
Bicuit mane,
Undugu upo wa damu, upo wa yamini upo wa koo upo wa kabila, upo wa dini, upo wa rangi, upo wa ndoa, na kadhalika.. hakuna haja ya maelezo kwani haya mambo yapo wazi.
 
Mimi siko hapa kuifagilia hii system!
Niko hapa kuijadili!
And so far wanayoipinga bado hawajamwaga data za kufanya hivyo!
 
Mimi ni Mtanzania ambaye niko hapa kujadili hii mada na si vinginevyo!
Siko hapa kwa maslahi ya chama chochote wala mtu binafsi!
Hoja zangu zinaweka hilo wazi!
Propaganda ziwekwe pembeni kwenye issue nyeti..Mathalan hii hapa!
 
Mzee wa "Space 1900" Mkandara, labda ni rephrase swali langu la hapo juu kwa kukuuliza ifuatavyo: jee kuna madhumuni gani haswa yanayofanya binadamu duniani kote kuthamini na kutilia maanani dhana za familia, ukoo, ukabila na hatimaye utaifa (in descending significance) katika mahusiano yote baina yao tokea enzi za Adam na Hawa?
 
jmushi1,
Kwani huyo Karamagi alipokea amri ya mkuu ama aliwashirikisha wananchi kwenye huo uoza?
Hawa wanaosign hiyo mikataba si wameteuliwa tu kwenye hizo shughuli?
Wapi sauti ya uwakilishi wa wananchi kwenye issue?
Tunajua Bunge liko..Lakini halina nguvu!
Kwani hukuona lilishindwa hata kuunda kamati ya madini hadi eti someone ndio aamue?
Where is POWER TO THE PEOPLE?
Hata huko kwenye majimbo hawa watu wa kuweka sahihi mikataba watachaguliwa kuwakilisha. hakuna hata mkataba mmoja utakaowekwa na wanakijiji wote l;azima kutakuwa na wawakilishi walioaminiwa. hawa ndio naozungumzia mimi kwa mfano wa kina Karamagi.
Umesema Bunge halina nguvu, ni kitu gani Majimbo kitahakikisha Bunge litakuwa na nguvu zaidi..
Hilo neno Power to the People linahusiana na uwakilishi mzuri wa viongozi ambao hadi sasa hivi hatuna kutokana na katiba nzima. Bado wananchi watakosa hiyo power ikiwa wviongozi wenyewe ndio hawa chini ya katiba yenye tobo kibao...
Let me conclude my finding:-
Kitu MUHIMU sasa hivi kwa Chadema kuwatendea haki wananchi ni KUHAKIKISHA CCM wanatoka. Viongozi nao wazungimzia wamejengwa na sera za CCM (Azimio la Zanzibar) kitaifa ambazo bila Chadema kushika madaraka hakuna mapinduzi ya kiuchumi yatakayoweza kuifanikiwa..Nguvu ya Chadema ijengwe ktk kutangaza UOVU wa CCM na viongozi wake kila siku iendayo kwa Mungu. Kuzusha hii Majimbo kunaondoa mwelekeo wa maradhi makubwa tuliyokuwa nayo.. Bila ufumbuzi huu ktk swala hili tunacheza kama CUF wanavyocheza na maendeleo ya visiwani..
 
Mzee wa "Space 1900" Mkandara, labda ni rephrase swali langu la hapo juu kwa kukuuliza ifuatavyo: jee kuna madhumuni gani haswa yanayofanya binadamu duniani kote kuthamini na kutilia maanani dhana za familia, ukoo, ukabila na hatimaye utaifa (in descending significance) katika mahusiano yote baina yao tokea enzi za Adam na Hawa?

Hivi we BISKUTI mbona hauwi straight?
Unazunguka zunguka nini hapa?
Ama unataka biskuti iliwe?
Sema unachotaka kusema na si ulete kizunguzungu hapa!
 
Bicuit mane,
Undugu upo wa damu, upo wa yamini upo wa koo upo wa kabila, upo wa dini, upo wa rangi, upo wa ndoa, na kadhalika.. hakuna haja ya maelezo kwani haya mambo yapo wazi.

Vyema kabisa. Lakini kuna tofauti muhimu na ya wazi kati ya undugu wa damu na ule wa ndoa/ukoo/ukabila/dini/rangi/utaifa na kadhalika, au siyo?
 
jmushi1,

Hata huko kwenye majimbo hawa watu wa kuweka sahihi mikataba watachaguliwa kuwakilisha. hakuna hata mkataba mmoja utakaowekwa na wanakijiji wote l;azima kutakuwa na wawakilishi walioaminiwa. hawa ndio naozungumzia mimi kwa mfano wa kina Karamagi.
Umesema Bunge halina nguvu, ni kitu gani Majimbo kitahakikisha Bunge litakuwa na nguvu zaidi..
Hilo neno Power to the People linahusiana na uwakilishi mzuri wa viongozi ambao hadi sasa hivi hatuna kutokana na katiba nzima. Bado wananchi watakosa hiyo power ikiwa wviongozi wenyewe ndio hawa chini ya katiba yenye tobo kibao...
Let me conclude my finding:-
Kitu MUHIMU sasa hivi kwa Chadema kuwatendea haki wananchi ni KUHAKIKISHA CCM wanatoka. Viongozi naowazungia wamejengwa na sera za CCM kitaifa ambazo bila Chadema kushika madaraka hakuna mapinduzi ya kiuchumi yatakayoweza kuifanikiwa..Nguvu ya Chadema ijengwe ktk kutangaza UOVU wa CCM na viongozi wake kila siku iendayo kwa Mungu. Kuzusha hii Majimbo kunaondoa mwelekeo wa maradhi makubwa tuliyokuwa nayo.. Bila ufumbuzi huu ktk swala hili tunacheza kama CUF wanavyocheza na maendeleo ya visiwani..

Hawabanwi na wananchi kwasababu they answer straight to the president rather than THE PEOPLE! Hawa wanahaki ya kujibu kwa raisi tu! Hakuna fundamental procedures zenye ku assure accountability under the current system na ndio maana tuna suasua kuwashughulikia mafisadi!
Nini kigumu hapo jamani?
 
Vyema kabisa. Lakini kuna tofauti muhimu na ya wazi kati ya undugu wa damu na ule wa ndoa/ukoo/ukabila/dini/rangi/utaifa na kadhalika, au siyo?

Huo undugu wa damu si ndio huo uliojaa huko BOT na kwingineko?
Na kwenye kamati ya vijana ya CCM?
Kwani nani haoni system hii imewanufaisha mafisadi?
Nakwambia the establishment mna taabu this time around!
 
Back
Top Bottom