dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,381
Hawataki hilo lakini linakuja, hatuwezi sehemu zingine watu wanafanyakazi kama mchwa kwingine wanacheza bao tu!
Ha ha ha ha ha ha! Halafu ndio walalamishi na wachochezi wakubwa; tunaonewa, tunapunjwa, tunataka kujitenga. Bro; umegusa penyewe.