Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Ili kujiandaa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2010 Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA leo wapo Jijini mwanza ili kuweza kuibua mchakato wa kuiboresha sera yake ya majimbo ambayo kilijinadi nayo kwenye uchaguzi mkuu wa 2005.
Katika kufanya mchakato huo ulioandaliwa na Kurugenzi ya Bunge na Halimashauri -kitengo cha sera na utafiti wakishirikiana na kurugenzi ya vijana , wameweza kuandaa rasimu ya sera hiyo kwa ajili ya kuibua mjadala wa kitaifa.
Viongozi wakuu wa CHADEMA wanategemewa kuhudhuria Kongamano hilo ambqalo linafanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustino Mwanza leo hii.
Yupo mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, pamoja na Makamu mwenyekiti Bara . wengine ni pamoja na mkurugenzi wa vijana taifa John Mnyika, Danda JUJU ambaye ni afisa mwandamizi kurugenzi ya Bunge nba halimashauri kitengo cha sera na utafiti.
Nitawawekea rasimu ya mjadala huo hapo chini.
Katika kufanya mchakato huo ulioandaliwa na Kurugenzi ya Bunge na Halimashauri -kitengo cha sera na utafiti wakishirikiana na kurugenzi ya vijana , wameweza kuandaa rasimu ya sera hiyo kwa ajili ya kuibua mjadala wa kitaifa.
Viongozi wakuu wa CHADEMA wanategemewa kuhudhuria Kongamano hilo ambqalo linafanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustino Mwanza leo hii.
Yupo mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, pamoja na Makamu mwenyekiti Bara . wengine ni pamoja na mkurugenzi wa vijana taifa John Mnyika, Danda JUJU ambaye ni afisa mwandamizi kurugenzi ya Bunge nba halimashauri kitengo cha sera na utafiti.
Nitawawekea rasimu ya mjadala huo hapo chini.