Toshack Kibala
Member
- Apr 1, 2012
- 67
- 8
Nguvu ya umma imefanya kazi hongera sana CHADEMA
Hata uchambuzi inafika kipindi unakuwa na upande uupendao..i mean uzalendo unamshinda mtu....Neno!
Ukiwa mchambuzi wa masuala ya kisiasa inabidi ubalansi na ushabiki wa chama unachokipenda.
Nakubaliana na wewe hapa!
hongera timu yote ya cdm iliyokuwa meru kama
Hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiuna dollar 4000, una smg, bastolla, simu 3, kanzu, bharakashia, then utathubutu, utaliwzwa, utabaki uch, ccm oyeeeeeeeee.
Kudadadeki...
Asante kwa niaba ya Chadema.....Nguvu ya umma imefanya kazi hongera sana CHADEMA
Mkuu nilikuwa nasikiliza Radio Sunrise hapa arusha wanasema ndani ya chumba cha majumuisho yumo Lema na Nassari pamoja na watu wengine ila sijasikia kwa upande.wa CCM kama kuna kiongozi ama mgombea wao; ina maana wameona maji yamezidi unga wameondoka.Mpaka Tume itangaze ndo ntaamini, ccm ni mizimu wale lolote linaweza kutokea
Mzuka wahatariEeeeeh mzuka upo juu....