CHADEMA Yaanza Operesheni PAMOJA DAIMA: Helkopta tatu Kutumika!

Hizi operation ziko ngapi? Mbona watu hawana ofisi hata bendear, mnajikopesha na kujipa mihela ya ruzuku mkiona wenzenu hasa walio humu ndani mazuzu

Unajua kweli unachokiandika au una - click tu?...Au ni kwa sababu furaha yako inakuwa kamilifu iwapo tu utaaandika jambo lolote "negative" toka ktk "bongo" yako juu ya chama cha watu?........You are really Great sinker!!
 
Hizi operation ziko ngapi? Mbona watu hawana ofisi hata bendear, mnajikopesha na kujipa mihela ya ruzuku mkiona wenzenu hasa walio humu ndani mazuzu

Boya wewe.... Rais Kavunja sheria .. kasamehe wezi wa EPA hata kabla hawajahukumiwa.. mbona haukusema!? Wapi Meremeta!?
Wapi TanGold!?
 
M/Kiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh. Freeman Mbowe ametangaza kuanza kwa Operesheni Pamoja Daima yenye lengo la Kuwaandaa Wananchi kushiriki kikamilifu kwenye Mchakato wa Katiba ikiwa ni pamoja na kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura wakati ukifika.

Mh. Mbowe amyasema wakati akizungumza na Waadishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkao kuu ya CHADEMA leo. Ziara hiyo itaongozwa na timu tatu zitakazoanzia mikoa Mwaza, Ruvuma na Tanga. Mbowe asema pia kuwa ziara hiyo itakuwa ni ya wiki mbili na siku zinaweza kuongezeka kadiri itakavyohitajika.

Pia ameongeza kwa kusema "Katiba Mpya ni lazima na kama haitapatikana kwa utaratibu uliowekwa kwa mapenzi tu ya Rais na Wabunge wachache wa CCM watanzania wataitafuta Katiba Mpya kwa utaratibu mwigine".

pamoja daima habari za uhakika kuhusu operesheni kupitia tanzania daima burudani tosha.mwananchi imepoteza mvuto baada ya issue ya zitto
 
Muda wa fedha za chama kuliwa na wajanja wachache umefika tena, MBOWE kishajikodishia helikopta , wakati mikoani hata mishahara kwa watendaji wa chama hakuna wanavaa suaruali zimetoboka kwenye makalio.
Unaliwa masabur..i na mashetani
 
Maamuzi ya BUSARA SANA!

Nchi hii wengi bado wanahitaji kuamshwa!

Wana macho lakini hawaoni; wana masikio lakini hawasikii!

Wamesoma lakini hawajaelimika hata kidogo!

Haya kawaambieni sera zenu sasa sio blaablaa za zito.
 
Back
Top Bottom