Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Kamanda Zitto amepangwa kanda gani.pamoja daima,nimesikia GODBLESS LEMA anakuja kanda ya kati,karibu sana kamanda.Kila la kheri Tundu LISSU huko kanda ya ziwa.
PAMOJA DAIMA!!!
Kamanda Zitto amepangwa kanda gani.pamoja daima,nimesikia GODBLESS LEMA anakuja kanda ya kati,karibu sana kamanda.Kila la kheri Tundu LISSU huko kanda ya ziwa.
PAMOJA DAIMA!!!
wakati wa kula pesa chama kwa kulipana Posho ndo huu sasa. halafu umesema kuna chopa tatu zinatakiwa ziruke wiki mbili na kuendelea? hebu wale wataalamu wa mahesabu waje hapa watujuze gharama ys kurusha chopa kwa siku tuzidishe mara 14+ tuone kama hazitoshi kweli hata kujenga msingi kwa ajili ya ofisi za chama makao makuu
Kamanda Zitto amepangwa kanda gani.
Kamanda Zitto amepangwa kanda gani.
Kamanda Zitto amepangwa kanda gani.
asante kwa taarifa, amesema atajikopesha milioni ngapi wakati huu ili tujue kabisa gharama halisi, halafu kwa nini kama hela za helikopta zipo kwa nini msinunue hata kiwanja tujenge ofisi ya chama makao makuu?jaribuni jamani tumechoka kupanga kwenye kinyumba kile, mbona hela mnapata!!!?!?
isipokuwa operation tokomeza ndo iliyo faulu1. Operesheni Sangara.
2. M4C.
3. Chadema ni Msingi.
4. Pamoja Daima.
Zote zimefeli....
asante kwa taarifa, amesema atajikopesha milioni ngapi wakati huu ili tujue kabisa gharama halisi, halafu kwa nini kama hela za helikopta zipo kwa nini msinunue hata kiwanja tujenge ofisi ya chama makao makuu?jaribuni jamani tumechoka kupanga kwenye kinyumba kile, mbona hela mnapata!!!?!?
Whaat! Watanzania wataidai katiba yao kwa namna nyingine !!! Malizeni matatizo yenu kwanza , muache ku divert mambo !
Ni matumizi mabaya ya ruzuku, helkopita tumieni, kura ni CCM
mwisho wake utajifanyia opereshen mwenyewe. kila siku operesheni.
huu ni mtazamo wangu , hizo hela wanazotumia kwanini wasizielekeze kwenye miradi ya maendeleo??? kama kujenga shule na vituo vya huduma za afya??? wanasiasa wanatumia millions of money kwenye propaganda kuliko kwenye maendeleo hii siyo kwa chadema peke yake au kwa tanzania peke yake ni kwa afrika kwa ujumla, tumeona kenya Odinga na Kenyata walivyotumia mapesa mengi kwenye kampeni, hii ni hatari kwa mstakabali wa nchi zetu za Afrika, HUYO MGONJWA ( MTANZANIA) ANAYEFANYIWA OPERESHENI KILA SIKU LINI HIVYO VIDONDA VINAPONA???? MANENO MATUPU HAYAVUNJI MFUPA, UMASIKINI WETU WATANZANIA USIWE MRADI WA WANASIASA,!!!!!!!