Kesi zilizoambatanishwa kwenye reference ya upande wa mrufani ni za zamani sana by ALUTEKuna msemo wa kufa kisabuni. Ndo hali inayoikumba chadema. Kwa wakazi wa arusha hapana shaka ni mashuhuda wa mkutano wa kufa mtu wa cuf hapo arusha ambavyo uliwatia aubu wana chadema kwa makombora ya professor lipumba na kejeli za vijana kupewa nkonyagi na bwana lema banada ya kuwatafutia maendeleo. Jumapili liliyopita wasomi udsm walikiponda kama chama kinachoweza kuchukua nchi kwa madai kuwa kimejaa siasa za kitoto, unafiki na na kukumbatia fedha za walipa kodi wa nchi za mabeberu saana chadjumapili iliyopiya wasomi waliipondalakininkikubwa ni chaguzi za nec ambazo zimeingiza majabali katika kila wilaya. Chadema ijiandae safari ya kuwasalimia tlp na nccr
Maana ya ndoa ni mmoja jike mwingine dume na walala same bed doing uncouth and dirty games called love making.Nadhani mkuu haujaelewa nini maaana ya Serikali ya Kitaifa ndio mana unasema kua CUF na CCM wamefunga ndoa hilo jambo ondoa katika fikra zako hebu angalia UK serikali gani inayofanya kazi kule
Kuna msemo wa kufa kisabuni. Ndo hali inayoikumba chadema. Kwa wakazi wa arusha hapana shaka ni mashuhuda wa mkutano wa kufa mtu wa cuf hapo arusha ambavyo uliwatia aubu wana chadema kwa makombora ya professor lipumba na kejeli za vijana kupewa nkonyagi na bwana lema banada ya kuwatafutia maendeleo. Jumapili liliyopita wasomi udsm walikiponda kama chama kinachoweza kuchukua nchi kwa madai kuwa kimejaa siasa za kitoto, unafiki na na kukumbatia fedha za walipa kodi wa nchi za mabeberu saana chadjumapili iliyopiya wasomi waliipondalakininkikubwa ni chaguzi za nec ambazo zimeingiza majabali katika kila wilaya. Chadema ijiandae safari ya kuwasalimia tlp na nccr
Tumia akili. Mkutano wa CUF mara ya kwanza kwanini uliahirishwa? Mpaka msafirishe watu kutoka DSM? CUF hamna cha kutuambia wanachi nyinyi ni .....ke wa Mgamba full stop.
Na chuo kikuu je hawana cha kuwaambia. Aibu chama jina kubwa, mambo ya kitoto tu na kukimbilia ujerumani kuomba fedha za uchaguzi.
Aibu kweli, mnatangaza ELIMU BURE kumbe mnategemea fedha toka Ujerumani. Tunataka nchi inayoweza kujiendesha yenyewe, yaani kupunguza tegemezi toka nje.
BAVICHA WAMEKIMBILIA UJERUMANI KUPIGA MAGOTI KWA BI ANGEL MARKEL.
CHADEMA AIBU TUPUUUUU!!!!!
Mleta mada hakuwepo Arusha kwenye mkutano wa CUF, kama alikuwepo basi hajawahi kushuhudia mkutano wa CDM Arusha.Tumia akili. Mkutano wa CUF mara ya kwanza kwanini uliahirishwa? Mpaka msafirishe watu kutoka DSM? CUF hamna cha kutuambia wanachi nyinyi ni .....ke wa Mgamba full stop.
Na chuo kikuu je hawana cha kuwaambia. Aibu chama jina kubwa, mambo ya kitoto tu na kukimbilia ujerumani kuomba fedha za uchaguzi.
Aibu kweli, mnatangaza ELIMU BURE kumbe mnategemea fedha toka Ujerumani. Tunataka nchi inayoweza kujiendesha yenyewe, yaani kupunguza tegemezi toka nje.
BAVICHA WAMEKIMBILIA UJERUMANI KUPIGA MAGOTI KWA BI ANGEL MARKEL.
CHADEMA AIBU TUPUUUUU!!!!!
Na chuo kikuu je hawana cha kuwaambia. Aibu chama jina kubwa, mambo ya kitoto tu na kukimbilia ujerumani kuomba fedha za uchaguzi.
Aibu kweli, mnatangaza ELIMU BURE kumbe mnategemea fedha toka Ujerumani. Tunataka nchi inayoweza kujiendesha yenyewe, yaani kupunguza tegemezi toka nje.
BAVICHA WAMEKIMBILIA UJERUMANI KUPIGA MAGOTI KWA BI ANGEL MARKEL.
CHADEMA AIBU TUPUUUUU!!!!!
Tumia akili. Mkutano wa CUF mara ya kwanza kwanini uliahirishwa? Mpaka msafirishe watu kutoka DSM? CUF hamna cha kutuambia wanachi nyinyi ni .....ke wa Mgamba full stop.
Halafu mlango wa pili kuna Sangoma, labda akifunga duka lake la ndumba ndio anafungua ofisi ya CUF and vice versa.halafu ofisi zenu huwa zinakuwa wazi saa ngapi....? kila nikija mmefunga.....nataka kadi...au zimeisha......?