TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
Posho ya chakula cha usiku imebaki umeona uje huku kupoteza muda upate usingizi .....wala hakuna shida wala tabu kuelewa cuf wanatumikaje kisiasa ...baada ya kuolea tu wamesha sahau wenzao waliokufa pemba wakati wa nyuma sasa wanatumika kwa nyuma nyuma sioni mantik ya neno hili nanukuu tunaeenda arusha kubomoa ngome ya cdm.
nakutuma sasa kupitia hapa jf mwambie lipumba anazidi kupoteza umaaarufu kama mume wake aaangalie matokeo uchaguzi igunga toka kura 11.000 2010 mpaka 2000 2011kwa muda wa mwaka mmoja ....subiri kama itatokea tena uchaguzi igunga ndo atapima
nakutuma sasa kupitia hapa jf mwambie lipumba anazidi kupoteza umaaarufu kama mume wake aaangalie matokeo uchaguzi igunga toka kura 11.000 2010 mpaka 2000 2011kwa muda wa mwaka mmoja ....subiri kama itatokea tena uchaguzi igunga ndo atapima