acheni ushabiki nyie, kila kitu maandamano?? mpaka tutayazoea sasa..kama vile hamjaenda shule bwana..jaji kutoa hukumu infavour of chadema ndio kutenda haki?? yaani mnategemea jibu moja tu inregardless ya facts?? sheria haiko hivyo ndugu zanguni, jaribuni kujitambua kwanza mnataka kufanya nini na kwa njia gani..mambo hayako hivyo bwana..
wekeni picha kama kweli,na mnaandamana kwa kibali cha nani?
tafadhali, usitufananishe wote na 'wavaa misuli' wa gogo vivu...wengine asili yetu ni ilemela/mwanza lakini tulikuwa mstari wa mbele kuleta mabadiliko jimbo la kawe...!Mikoa yote yenye gahawa, kashata, juice ya tende na wazee wa misuli washindao vibarazani iko nyuma kimabadiliko. Shame on you Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, Dsm and others who are in love with Magamba.
mouddymtoi sio kweli kwamba wote wanamapenzi na magamba ila mfumo tu ndio unatuangusha hivi katika hii kesi mtu amekutwa na masanduku ya kura kwenye gari lake binafsi na bado mtu huyo akashinda utawalaumu wakazi wa hapo?Mikoa yote yenye gahawa, kashata, juice ya tende na wazee wa misuli washindao vibarazani iko nyuma kimabadiliko. Shame on you Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, Dsm and others who are in love with Magamba.