Visionmark
Senior Member
- Nov 24, 2011
- 158
- 28
Hovyo kabisa.. Chadema ikishinda hukumu MAHAKAMA IMETENDA HAKI...... ikishindwa Kelele,,
Sasa nyinyi wanasiasa gani!???? au wapiga makelele tu
Wewe unaongea nini??! yaaani kusoma hujui hata picha tu kuangalia napo huwezi!!! Wewe kama sio GAMBA basi jaribu kufuatilia tu mwenendo mzima wa kesi yenyewe halfu njoo sasa utoe komenti zako! Acha hizo!