johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Kama Chama kinatangaza Shughuli za maandamano katika Mikoa tofauti tofauti kwa jambo lile lile basi Chama hicho kinakuwa ni cha maandamano
CHADEMA walishaandamana hadi UN na kufikisha Ujumbe wao, ile ilitosha kabisa
Sasa wanaandamana mikoani kwa hoja ile ile kufikisha Ujumbe wao kwa Mkuu wa mkoa.
Yaani kutoka UN hadi kwa RC Makala 😂
CHADEMA walishaandamana hadi UN na kufikisha Ujumbe wao, ile ilitosha kabisa
Sasa wanaandamana mikoani kwa hoja ile ile kufikisha Ujumbe wao kwa Mkuu wa mkoa.
Yaani kutoka UN hadi kwa RC Makala 😂