Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,008
labda umetumwa na Mwanakijiji ili umlinde na tabia yake ya kutumia majina mengi kama yalivyotajwa humu.
Kifimbo, naomba unioneshe tabia yangu ya kutumia majina mengi kama "yalivyotajwa humu". Ni wapi MoD au Admns yoyote aliyesema MwanaKJJ anatumia majina mengi humu? Unless wewe unajua hivyo. Toa ushahidi.