CHADEMA wakataza

Kupendwa ndio huku, kupendwa kuheshimiwa............ Nafurahi umeanza kujirudi na kupunguza ukali wa maneno yako pamoja na mashambulizi ya udini na ukabila. Hebu soma postings zako uone ulipokuwa unaelekea. Nilichofanya mimi ni "dawa ya moto, ni moto". Ulianza, nikamaliza. Muosha, huoshwa. Otherwise, enough is enough- let us stick to issues sasa, tuachane na mipasho.

Asha

Asha,
Mimi msimamo wangu haubadiliki, mwelekeo ndio ninaobadilisha kulingana na ubora wa postings. Zikiwa za kijinga-kijinga naziminyia. Hii ya kwako ilikuwa bado kidogo nayo ningeishiti, ila kwa leo nimekupa benefit of the doubt. If I decide to go -ve or bombastic, you will not be able to control me and thus why I sometimes decide to just ignore some of your postings, ndio maana mwenzako nikamuwekea huu ujumbe;

http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=187101&postcount=173


Sasa kwa vile umerudi hebu soma tena hii message na kutupatia majibu maana naona kidogo sasa umetulia;

http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=185769&postcount=143




______________________________
 
Nimemuandikia aliyeniandikia, ajieleze. Na nimemueleza kwamba ofisi ya habari na uenezi imekana kukataza. Nasubiri anijibu ndio nimeamua cha kufanya.

Asha



Ingawa imechukua muda sasa, lakini tutasubiri na kuendelea kukumbushana.


_________________________________
 
SOME TIMES I THINK SO TOO,FILLING THE JF DATABASES WITH CHEAPSHOTS, ADHOMINEMS, AND UNFORTUNATELY COSTING OUR GOOD INVISIBLE's PRECIOUS TIME TO PERFORM THE DATABASE AND SERVER UPGRADES AT THE TIME HE DIDN'T PLAN TO DO SO, COMING TO REALIZE THAT SOME OF THE REASONS IS BECAUSE OF THE MISUNDERSTAND AND THE MISUSE OF THE "WHERE WE DARE TALK OPENLY" SLOGAN, AND THE ILLUSIONED ATTENTION WHICH SHE SEEM TO ATTAIN OR DREAM ABOUT, LETS KEEP ON MOVING PERHAPS AKIKUA ATAACHA ,

gamba la nyoka



Gamba,
Signature yako inajieleza vizuri zaidi. Nakubaliana na msg yako yote.



____________________________
 
Asha,
Mimi msimamo wangu haubadiliki, mwelekeo ndio ninaobadilisha kulingana na ubora wa postings. Zikiwa za kijinga-kijinga naziminyia. Hii ya kwako ilikuwa bado kidogo nayo ningeishiti, ila kwa leo nimekupa benefit of the doubt. If I decide to go -ve or bombastic, you will not be able to control me and thus why I sometimes decide to just ignore some of your postings, ndio maana mwenzako nikamuwekea huu ujumbe;

http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=187101&postcount=173


Sasa kwa vile umerudi hebu soma tena hii message na kutupatia majibu maana naona kidogo sasa umetulia;

http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=185769&postcount=143




______________________________

Kubwa Jinga:

Nashuru sana, na wewe najua sasa umetulia, hebu naomba basi uje ujibu hoja zangu hapa:
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12123&page=29

Au nenda ukurasa wa 32 wa thread ya “Dr Slaa for President 2010”

Asha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom