Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,194
- 297
Kupendwa ndio huku, kupendwa kuheshimiwa............ Nafurahi umeanza kujirudi na kupunguza ukali wa maneno yako pamoja na mashambulizi ya udini na ukabila. Hebu soma postings zako uone ulipokuwa unaelekea. Nilichofanya mimi ni "dawa ya moto, ni moto". Ulianza, nikamaliza. Muosha, huoshwa. Otherwise, enough is enough- let us stick to issues sasa, tuachane na mipasho.
Asha
Asha,
Mimi msimamo wangu haubadiliki, mwelekeo ndio ninaobadilisha kulingana na ubora wa postings. Zikiwa za kijinga-kijinga naziminyia. Hii ya kwako ilikuwa bado kidogo nayo ningeishiti, ila kwa leo nimekupa benefit of the doubt. If I decide to go -ve or bombastic, you will not be able to control me and thus why I sometimes decide to just ignore some of your postings, ndio maana mwenzako nikamuwekea huu ujumbe;
http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=187101&postcount=173
Sasa kwa vile umerudi hebu soma tena hii message na kutupatia majibu maana naona kidogo sasa umetulia;
http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=185769&postcount=143
______________________________