samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
kweli wewe ni mzee,hadi unaouvivu hata kufikiri.kunatatizo gani?kwa kafumo hatakuanza utekelezaji wa awali wa ahadi zake?na kwenda dar kupumzika.akumbuke kashinda bahatimbaya tu.kama haamini asubiri 2015.Tuacha ushabiki, Kiongozi gani anaweza kuleta maendeleo ndani ya wiki mbili. Ni mapema sana kumsemea Kafumu.